- Thread starter
- #61
Straight shooter [emoji23], umeona umchane tu
Sijaona alichonichana hapo sababu mahusiano iwe ya mzungu au mbongo mambo ni yale yale tu kikubwa ni machaguo tu..yy aliwaza labda mimi ni wale mabinti njaa, ila namshukuru Mungu aliniepushia hilo.