- Thread starter
- #101
Nikamalizie Money Heist kisha nitumie maunyama ya Profesa kujua shemeji kapatwa na nini?
Umetisha profesa[emoji23][emoji23][emoji23] ila niachie kwanza mimi tokyo nichek kwanza mbinu za kivita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikamalizie Money Heist kisha nitumie maunyama ya Profesa kujua shemeji kapatwa na nini?
Jua kali jamani,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah we mdada...
Pole aisee tufuta mwingine, hamna kurudi nyuma[emoji23]Unaulizia buibui na vumbi stoo[emoji28]??? Au oil chafu gereji[emoji28]
Yes but voda haiaminiki kama tigo.Hata voda huwa napokelea mkwanja
Hio ilikuwa long time kidogo enzi ningali kijana machachariPole aisee tufuta mwingine, hamna kurudi nyuma[emoji23]
Unaonekana mdada mdogo decent sana tena unahofu ya Mungu sana
Hongera sana
Ndio hivo, huyo unayemwita dear nae ana wake anamwita dear pia. Ni kukubaliana na hali tu.Kuna wimbo siku hizi nausikia hata sijui ni wa nani, anasema mpenzi wako ana mpenzi mwingine, na huyo mwingine anaye mwingine na mwingine.
Mie inakujaga instantly, mtumaji yuko CAYes but voda haiaminiki kama tigo.
Mara nyingi voda inakwama au kuchelewa.
Nina uzoefu nao tangu 2017
We ungetumiwa pesa bila kuombwa ungekataa? Tuache kujivisha ngozi za kondoo bwana izo picha za pepsi hata choka mbaya wanaombwa ukituma ni upumbavu wako mwenyewe na kujikosea heshima na mwili wako.
Hiyo ndio hali za dada zetu 90%
Pasiwedi ya chupi ni pesa na sio penzi
Tz huwezi kutuma isipokuwa kupokea toUkitimiwa pesa inakuja mimi natumiwa sana kupitia hii lakin natumiwa na rafikiangu na dada yangu! Lakin sijajua kutoka huku Tz kwenda nchi nyingine kama inafanya kazi
Inafanya Kazi Sana.Hiyo world Remit mbona kwenye nchi zilizo kwenye orodha Tanzania haimo
Kila la kheri naamini shemeji ni mzima ni dharura tuUmetisha profesa[emoji23][emoji23][emoji23] ila niachie kwanza mimi tokyo nichek kwanza mbinu za kivita.
Mbna waswahili wenzenu tupo apa
Hapana, kama nimeolewa sita cheat. Siwezi kucheat kwenye ndoa yangu labda aanze yeye[emoji23].[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli pepo ni ngumu kmmmk walai!
Si mnaapaga na viapo kabisa pale altareni kwa shida na raha ila kimsingi shida za kupiga mkuki kwenye Eicher za Ubungo - Temeke amzitaki kabisa....
Kwahio kuchiti lazima jamani kweli Bwana ametoa na bwana ametwaa[emoji23][emoji23][emoji23] jina lake lihimidiwe
Safi sana, usiwasikilize.
Hata mimi ningepata hiyo fursa nisingelazia damu. Huoni hata siku hizi wanaume wanadanga kwa majimama? Si unaona hata yule mume wa mama Diamond?. Ukipata fursa chomoka nayo, kuliko kuwapa akina Abdala pussy yako na bado hawana adabu.
Sawa kbsa mzungu wa nafsiiNi machaguo tu kaka yangu ni km mtu apende wadada wembamba wakati vibonge wapo au apende mwenye mguu wa bia wakati wenye miguu isiyo na nyama sana wapo! So its all about choices tu kaka yangu.
Voda inafaa sana kwa MoneygramMie inakujaga instantly, mtumaji yuko CA
hayo pia mawazo yako we siulitaka ushauri ndo huo tafuta cha asili yako huko kwingine mnapigwa unafikiri hakuna wanawake wazuri kuliko wewe huko kwao mpaka aje asumbuke na wewe huyo alie kwambia dada labda ndo naniliu wanaume tunajijua.