Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Niliongelea kauli ya general dada, pole kama nimekukwaza.Sio wote kaka yangu nadhan kwenye hiyo 10% nikawepo
Ninatambua kuna mabinti wanatambua thamani zao na hawana bei so pesa haiwasumbui hata kama hawana.
Pili ukubwa wa njaa za dada zetu sisi wanaume tunalijua vizuri zaidi.