Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Acha dating na watu usiowajua, watu ambao asimilimia za kukufanyia unyama ni nyingi kuliko upendo wa kweli.

Hivi kweli mtu mnaweza pendana kindezi namna hiyo kupitia mitandao tu, bora ingekua kitambo tena kipindi hiki ambacho ulaghai ni mwingi.

Kua makini, kaa chingo huenda unatengenezwa. Hatokuja yeye ila atakutaka wewe uende.
 
Acha dating na watu usiowajua, watu ambao asimilimia za kukufanyia unyama ni nyingi kuliko upendo wa kweli.

Hivi kweli mtu mnaweza pendana kindezi namna hiyo kupitia mitandao tu, bora ingekua kitambo tena kipindi hiki ambacho ulaghai ni mwingi.

Kua makini, kaa chingo huenda unatengenezwa. Hatokuja yeye ila atakutaka wewe uende.

Unenishauri vizuri sana na nimeelewa mkuu, hata hivyo yeye ndie aliesema atakuja na sitaweza kwenda kwao kabla yeye hajaja huku japo yy ndie alibring mada ya kutaka kuja kuniona, dating online ni kitu kinachowesekana kabisa ila inahitaji umakini km ulivyosema.
 
Just cash!! Only cash !!

Uko fasta sana kupokea hela kwa mwanaume alie na interest na wewe !!?

Please women ,taratibu basi mnajishushs kiivyo fasta tu within two weeks mtu ashakula muamala daah!!.

Kwani huwezi huwezi kataaa!! Kuonesha your financially independent huna shida na cash!!

Daah ila haya bhana!!

Sio ajabu jamaa kajikata
 
Penz la mwanzo Lina kimuhemuhe chake

Anyway angekuwa mswahili mwenzako hata usingekuja huku kuuliza

Ngoja akutumie nauli uende ujikute kwenye usambazaj wa sembe au madanguro

Sikutishi ila muda mwalimu mzuri sana

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mswazi angepotezewa wala isingemuuma

Watu wanataka waoshe! Waibuke pande na oslo [emoji2][emoji3577]

We mswazi utaishia kumpeleka buza kwa mpalange[emoji2]
 
Just cash!! Only cash !!

Uko fasta sana kupokea hela kwa mwanaume alie na interest na wewe !!?

Please women ,taratibu basi mnajishushs kiivyo fasta tu within two weeks mtu ashakula muamala daah!!.

Kwani huwezi huwezi kataaa!! Kuonesha your financially independent huna shida na cash!!

Daah ila haya bhana!!

Sio ajabu jamaa kajikata

Hee! Makubwa kwani nilimuomba? Na nilimwambia kabisa sina western union alivyoniuliza mwanzo ila akainsist ni namna gani nyingine atume ulitaka nimwambie sitaki? Sasa ningekataa mbona ndio ningefake? Life does not need to complicate that much bro km ni muondokaji angeondoka tu hata ningekataa.
 
Mswazi angepotezewa wala isingemuuma

Watu wanataka waoshe! Waibuke pande na oslo [emoji2][emoji3577]

We mswazi utaishia kumpeleka buza kwa mpalange[emoji2]

Don't be that bitter for your own good[emoji23]..Relax bro!
 
Tuliza kipwinto wewe mdada usije ukalikoroga...

Swali la kizushi, kwa nini mmekuwa mki chat tu na si kupigiana simu?
Kipwinto ndo kinini we jamaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kipwinto ndo kinini we jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acha tu wabongo tuna maneno sana hadi wanaume nao wana maneno balaa...punguzen kidogo jamani[emoji23]
 
Ni machaguo tu kaka yangu ni km mtu apende wadada wembamba wakati vibonge wapo au apende mwenye mguu wa bia wakati wenye miguu isiyo na nyama sana wapo! So its all about choices tu kaka yangu.

Ongezea na kufyatua vitoto vizuri vizuri ☺️...

Kwa mbongo ukifyatua tu katoto, wanaanza kukafananisha sijui na babu wa ngapi huko...
 
Kipwinto ndo kinini we jamaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

😂😂 tazama hii clip, ukikulia uswazi hivyo ndo viswahili vyetu...

 
wazungu wenyewe si kwamba wana hela nyingi km watu wanavyodhami ila ni sababu tu wametengenezwa kua hardworkers tangia wakiwa wadogo..hukunikwaza chochote bro uliongea ukweli.

Kimbisa it ain't all about hardworking and stuff...

Mfumo wa kipebari ndio unasababisha wenzetu wasibweteke, inakulazimu ulipie kila kitu kasoro labda hewa tu...

Hivyo mtu ili aishi, asijikute matatani kwenye mikono ya sheria inampasa apige mzigo...

Kibongo bongo unaweza ukawa hata mkaidi, ukawa mtu wa vizinga, au ukaenda hata kujifanya mateka kwa ndugu huku ukisaka michongo...
 
Tunawataka tu jamani sema mimi dada yako napenda sana wake majamaa weupe[emoji16][emoji16], tena awe slim halafu tall hahaha navitiwa nao for sure no need to hide.
Vipi dada angu? je na wewe ni mrembo lakini?
 
Kimbisa it ain't all about hardworking and stuff...

Mfumo wa kipebari ndio unasababisha wenzetu wasibweteke, inakulazimu ulipie kila kitu kasoro labda hewa tu...

Hivyo mtu ili aishi, asijikute matatani kwenye mikono ya sheria inampasa apige mzigo...

Kibongo bongo unaweza ukawa hata mkaidi, ukawa mtu wa vizinga, au ukaenda hata kujifanya mateka kwa ndugu huku ukisaka michongo...

[emoji28]ni kweli ila mi naona hii yao ni bora ili mtu uishi kwa kula kwa jasho kuliko kua kibaka,tapeli au mdangani aisee!
 
Hahah...lakini sasa bahati mbaya wanawake wetu ninyi ndio mnaongoza kwenda kwa mafundi

Haya mambo haya yaani acha tu! Kuna wanawake kwenda kwa mafundi kina wale wazee wa kuamua kutaka tu usiendelee yaan ilimradi tafrani tu.
 
Back
Top Bottom