Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Habari za leo wanajamvi!

Nimeona nilete hili jambo kwenu labda nitapata msaada wa mawazo na ushauri wenu ili nielewenini nifanye.

Mimi ni binti wa mid 20's km unavyojua kila mtu hua na malengo yake katika maisha basi na ana machaguo yake katika maisha km ambavyo mtu anapendelea mwanamke mwenye shape nzuri, au macho mazuri au sura nzuri, vivyo hivyo baadhi ya mabinti hupenda wanaume warefu mara wenye hela basi mimi ni binti nnaependa kudate na ngozi nyeupe (wazungu) ila si vile vibabu vya kizungu[emoji23].

Well, km ijulikanavyo huwez kupata kitu km hukifanyii efforts so nilikiunga na dating sites kadhaa katika one of the dating site nikakutana na kijana mmoja wa umri wa miaka 31 kutoka nchini Norway, huyu hakua kijana pekee niliewah kukutana nae ila wengi hawakuonyesha userious so na mm sikutaka kuwa entertain till nilivyoanza kuchat na kijana huyu, mwanzo alionyesha ukawaida km wengine so ckumtilia maanani sana ila ndani ya muda mfupi tu wa kuchat km week1 alionyesha km ana ka userious flan km kujibu txt ontime, kutoomba nudes (picha za utupu), kutaka kunijua kiundani na kufikia maamuzi ya kuomba if I can be his girlfriend of which I accepeted..alipanga aje nchini mwishon wa mwez huu na alishakata flight ya tarehe hizo za mwishon na hii ni only after 2 weeks of knowing each other, well niliona km things are going too fast ila sikuichukulia in negative way sababu mapenzi hayanaga formula.

Week 2 baada ya kua tunachat nae every day nilipata minor accident iliyonipelekea kuvunjika vidole vyangu vitatu vya mguu nikafungwa P.O.P (hogo) nikamtaarifu kua nimeumia na kumtumia picha swali la kwanza ni aliniuliza "Do you have western union?" Nikamjibu sina akaniuliza unaweza kutumia njia gani kupokea heka kutoka abroad nikamwambia ngoja niulize maana kiukweli nilikua sijui ndio one of my friend akaniambia nitumie "Worldremit" baada ya kumtumia hiyo app alishangaa maana hakuwahi kuitumia before ila aliidownload na akawa ananitumia screenshot kila hatua ili aweze kufill details zangu...baada ya dakika km mbili simu yangu ilisoma nimepokea laki7 za kitanzania kutoka kwake nilimshukuru kwa kweli ukizingatia sikumuomba ile hela na wala sikua na wazo hilo..aliniambia zitanisaidia kwa transport fees baada ya kujua sina personal car.

Tukawa tunaendelea kuchat by the time alikua na likizo za sikukuu za Christmas and new year so muda mwingi alikua online, he seems like he is an introvert masna kwenye video call hua ni km aina ya mtu anaeishiwa maongez though ni mchatiji mzuri, aliniuliza nacope vp hali ya kuwa nyumban mda wote wakat niko na ile P.O.P nikamjib kawaida tu sina jinsi inabid nitulie akaniuliza km nchini kwetu tuna Netflix nikamjibu ndio ila sikua na account akanitumia details za his personal account means user name yake na password yake na na akaniambia " do not freak out there is another girl using my account but thats my sister" so tulikua tunatumia hiyo accout mimi, yeye na huyo user mwingine ambae sikufatilia sana kumjua as long as alishaniambia ni dada yake..akanitumia kias kingine nijiunge na unlimited internet ili nisiwe bored.

Tuliendelea kuchat mpk alipomaliza likizo ya kaz na alivyoanza kazi, well mawasiliano yalipungua sio chatting za muda wote ila nilielewa sababu ya ubusy, ila lazima atatuma txt mara tu baada ya kutoka kazini mtachat au kuongea kidogo ndio atalala.

Juzi ndio ulikua mwisho wa mimi kuchati nae na our last conversation..aliniambia anatoka mara moja kutembea sababu amekaa ndan muda mrefu and he asked me how was my leg? Nilimjibu ila text ile haijafunguliwa mpk leo

Txt inadelever ila in grey tick which means haijafunguliwa, his last seen inaonyesha muda ule ule ambao tulichat mara ya mwisho so ni km hajaingia online tena, ila txt zinafika hofu yangu ni kua ya Mungu ni mengi amepata tatizo labda au? Maana siwez kujump kwenye bad conlclusion maybe amepata tatizo ila txt zinadeliver sena hazijafunguliwa tu na hajaingia online...ameamua kuquit mahusiano au? But hatujapishana kwa lolote au ni mimk ndie nina overthink?

His netflix account still works to me here, sijatuma txt nyingi sababu sion point ya kutuma txt wakati za mwanzo hazijajibiwa na hayuko online...je kwa wengine ishawahi watokea kitu km hii? Ina uwezekano akawa yuko busy sana? Isije nikasubiri meli wakati niko airport..Ndio masna nikaja hapa sababu ya ushauri wenu na mitazsmo yenu inaweza nisaidia.

I have developed some feelings for him honest speaking ila ni vyema nikajua niko position gani kwa sasa ili nisipoteze muda na hisia kwa mtu ambae labda si km nimfikiriavyo au nijaribu kumpigia kwa simu ya kawaida?

What do u think I should do guys? Au nisubiri tu nione itakuaje?
MKuu yawezekana mzungu kaona mizinga imeanza mapema,
Unaweza kuwa hukuomba Hela ila swala la kuvunja vidole wiki Moja baada ya mahusiano linafikirisha sana.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Si haba kwa kweli namshukuru Mungu kwa hilo ninaangalika[emoji23][emoji23]
Sawa ila wanawake mlio wengi huwa mnaji-overrate sana. Demu wa kawaida sana lakini yeye anajiona bonge la shori. I hope you are not one of them. Kila la heri na shemeji yetu kutoka Oslo.
 
MKuu yawezekana mzungu kaona mizinga imeanza mapema,
Unaweza kuwa hukuomba Hela ila swala la kuvunja vidole wiki Moja baada ya mahusiano linafikirisha sana.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app

Ajali haina kinga hata mimi niliipata unexpected na nilimwambia nimevinjika vidole baada ya kutoniona online muda mrefu so sikuona sababu ya kumficha after all nilimpa tu taarifa sio kwa expectations za kupewa hela ikatokea akaamua kwa matakwa yake mwenyewe kunipa hiyo hela... wewe ukijua a na mdada ndani ya week hlf usinuone online almost siku nzima na si kawaida yake ukamuuliza akakwambia yuko hospital kapata ajali ni amekuomba hela?? Tuwe tunafikiriaga positive sometimes.
 
Sawa ila wanawake mlio wengi huwa mnaji-overrate sana. Demu wa kawaida sana lakini yeye anajiona bonge la shori. I hope you are not one of them. Kila la heri na shemeji yetu kutoka Oslo.

Ulitaka nikujibu ni sasa bro? After all uzuri wa mtu uko machoni mwa mtu.
 
Ajali haina kinga hata mimi niliipata unexpected na nilimwambia nimevinjika vidole baada ya kutoniona online muda mrefu so sikuona sababu ya kumficha after all nilimpa tu taarifa sio kwa expectations za kupewa hela ikatokea akaamua kwa matakwa yake mwenyewe kunipa hiyo hela... wewe ukijua a na mdada ndani ya week hlf usinuone online almost siku nzima na si kawaida yake ukamuuliza akakwambia yuko hospital kapata ajali ni amekuomba hela?? Tuwe tunafikiriaga positive sometimes.
Naelewa MKuu Sema hapa natumia uzoefu sababu dada zangu wabongo sisi Sio wageni wenu,
Kutongozana asbh halafu jioni ukafiwa mama mzazi au baba akalazwa ICU KESHO yake Huwa ni kawaida , naweza kuwa nakosea ila kinongobongo wengi wako hivyo.


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba mwanzo wa kujuana zungu likaomba utupu wako ulitumie, nawe ukalitumia......Afrika ni afrika tu

Mmh ndugu yangu umesoma kwa makini kweli? Au niseme ukiwa unasoma kitu unasomaga kwa utulivu? Jaribu kua unasoma kwa umakini kuepuka fedheha ndogo ndogo.
 
Ivi mwanaume kuwa seriously ni kumpa mwanamke pesa ???namanisha kumuhudumia kifinancial kama akiwa na shida au akikutumia sms unajibu ontime au upendo wa dhati ni nini???
 
Naelewa MKuu Sema hapa natumia uzoefu sababu dada zangu wabongo sisi Sio wageni wenu,
Kutongozana asbh halafu jioni ukafiwa mama mzazi au baba akalazwa ICU KESHO yake Huwa ni kawaida , naweza kuwa nakosea ila kinongobongo wengi wako hivyo.


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app

Hujadanganya ni kweli kabisa ila binafsi sipendag kujishushia hadhi hata km ningepata shida ya hela ningeomba kaka zangu, marafiki ninaowafahamu au mzazi sio mtu niliejuana nae ndan ya muda mfupi hivyo ni kujifedhehesha na kujiteremsha.
 
Hujadanganya ni kweli kabisa ila binafsi sipendag kujishushia hadhi hata km ningepata shida ya hela ningeomba kaka zangu, marafiki ninaowafahamu au mzazi sio mtu niliejuana nae ndan ya muda mfupi hivyo ni kujifedhehesha na kujiteremsha.
Uko na attitude nzuri kuhusu maisha ,endelea Hivyohivyo, itakupa faida huko mbele.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ivi mwanaume kuwa seriously ni kumpa mwanamke pesa ???namanisha kumuhudumia kifinancial kama akiwa na shida au akikutumia sms unajibu ontime au upendo wa dhati ni nini???

Kumjali, ni nadra sana kwa nature ya mwanaume yeyote duniani kumjali mwanamke asiye na interest nae hata kidogo, fatilia details ndogo ndoga hapo utaelewa achana na swala la hela kwanza angalia kumjibu mtu kwa wakati, kumjulia mtu hali hata km umechoka vp ila upate muda wa kuongea nae hata kidogo kujua siku yake imeenda vipi, kwa mfano alivyouliza unakuaga unakaa bored km huna chchote cha kuangalia basi bora nikupe netflix ikuweke busy kwa muda huu ili usiwe bored kaka hata km ni wewe mwanamke usie na muda nae kabisa umfanyie yote haya ili iweje tena bila kukuomba? Km mwanaume nadhan utakua umenielewa.
 
Unenishauri vizuri sana na nimeelewa mkuu, hata hivyo yeye ndie aliesema atakuja na sitaweza kwenda kwao kabla yeye hajaja huku japo yy ndie alibring mada ya kutaka kuja kuniona, dating online ni kitu kinachowesekana kabisa ila inahitaji umakini km ulivyosema.
Sawa ongeza umakini mkuu.
 
Mmh ndugu yangu umesoma kwa makini kweli? Au niseme ukiwa unasoma kitu unasomaga kwa utulivu? Jaribu kua unasoma kwa umakini kuepuka fedheha ndogo ndogo.

Basi sawa ma sista, nitakuwa nimeelewa vibaya......nisamehe
 
Ulitaka nikujibu ni sasa bro? After all uzuri wa mtu uko machoni mwa mtu.
Ulivyojibu umejibu sahihi kabisa. Niliamua kuongezea tu observation yangu kuwa wanawake wengi huwa wanajioverrate. By the way mwanamke mzuri wa kuvutia kila mtu atamuona ni mzuri tu. Haya mambo ya kusema uzuri upo machoni mwa mtu ni porojo tu.
 
Unenishauri vizuri sana na nimeelewa mkuu, hata hivyo yeye ndie aliesema atakuja na sitaweza kwenda kwao kabla yeye hajaja huku japo yy ndie alibring mada ya kutaka kuja kuniona, dating online ni kitu kinachowesekana kabisa ila inahitaji umakini km ulivyosema.

Vipi akija na Akataka game(kutest mtambo) , upo tayari kwa Commissioning? Au ndio yale yale ya Mpaka nyumbani uje wakujue na tufunge pingu za Maisha kwanza ndio mchezo ufuate
 
Vipi akija na Akataka game(kutest mtambo) , upo tayari kwa Commissioning? Au ndio yale yale ya Mpaka nyumbani uje wakujue na tufunge pingu za Maisha kwanza ndio mchezo ufuate

Hayo maswali ni too personal ningependa ibaki confidential as long as mlengwa mwenyewe ni mimi mwenyewe.
 
Back
Top Bottom