Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Usiwe na wasiwasi, kama utaweza kumtumia normal text itakuwa vizuri.

Ninachojua hawa jamaa kama kuna namna hakuelewi anakuambia straight na uhusiano unakufa, hawarembi kama sisi na unafiki wetu.

Yeah hilo nimelisoma kutoka kwao! Since mwanzo nilikua makini kulijua hilo kbl sijaingia kichwa kichwa na sikutaka kutumia effort yyt kumfanya awe interested so am sure your right mgoja nitajaribu kumtafuta kawaida.
 
Ameshakuelewa...Sasa hakutaki tena umempiga mzinga wa kijinga Sana
Ungempanga vizuri kwanza aje

Una njaa Sana ndio shida...wewe kulana na na sisi tusiohonga zaidi ya laki
 
Ameshakuelewa...Sasa hakutaki tena umempiga mzinga wa kijinga Sana
Ungempanga vizuri kwanza aje

Una njaa Sana ndio shida...wewe kulana na na sisi tusiohonga zaidi ya laki

We nae sijui unasoma huku umefunga macho? Kuna nilikompiga mzinga hapo? Kuna alikoombwa hela hapo? Tuwe na utulivu wa kuelewa mambo kbl hatjaongea basi.
 
We nae sijui unasoma huku umefunga macho? Kuna nilikompiga mzinga hapo? Kuna alikoombwa hela hapo? Tuwe na utulivu wa kuelewa mambo kbl hatjaongea basi.
Ng'ombe mko wengi ...wewe unafikiri alivunjika mtu vidole hapo? Au ni POP fake Ili atumiwe hela?
Wajinga ndio waliwao
 
Za chaki hazitoshi. Hamna asiyetaka maisha mazuri aisee[emoji23][emoji23]. Yaani niteseke na chaki kusimama siku nzima na bado nikapambane kudandia daladala kwa dirishani kisa nabania pussy ambayo baada ya michosho ya daladala naenda kumpa Abdala anasimamia ukucha na kunibinua binua anavyotaka usiku mzima na bado hapo haimaanishi ha cheat ama nipo peke yangu? Hapana kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni Kutoa kwa Wenye nazo tu
 
Atakutafuta leo. Si unaona ilikuwa ni weekend? Mpenzi wako alienda kwa mpenzi wake na simu anayotumia kuchat na wewe aliiacha nyumbani kwake akaondoka na nyingine ambayo sasa wewe hauna.
Usijali atarudi leo, muendelee mlipoishia.
[emoji23][emoji23]ila inauma
 
Etii...
Kwahiyo dada hutaki kuliwa kimasihara na mwanaume mweusi.
We unataka kuliwa na wazungu tu??

#YNWA
 
Yeah hilo nimelisoma kutoka kwao! Since mwanzo nilikua makini kulijua hilo kbl sijaingia kichwa kichwa na sikutaka kutumia effort yyt kumfanya awe interested so am sure your right mgoja nitajaribu kumtafuta kawaida.
Huku TZ huna mtu wa kupunguza stress?[emoji23] Manake ili huyo white asikuumize kichwa waweza tafuta a friend with benefit huku unalisongesha na white!
 
Back
Top Bottom