Emen
JF-Expert Member
- Jun 22, 2021
- 2,069
- 3,516
Njaa za namna hii zilimfanya Binti mmoja (Changu) ka-beastilishwa na ku-knot na dog, sijui mnaikumbuka hii issue? Sema kipindi kile mitandao ilikuwa haija catch-up sana.
Duh,, ilikuaje hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa za namna hii zilimfanya Binti mmoja (Changu) ka-beastilishwa na ku-knot na dog, sijui mnaikumbuka hii issue? Sema kipindi kile mitandao ilikuwa haija catch-up sana.
Huku TZ huna mtu wa kupunguza stress?[emoji23] Manake ili huyo white asikuumize kichwa waweza tafuta a friend with benefit huku unalisongesha na white!
Ila asilimia kubwa ndio tabia zao kufukua mitaro jiandae kisaikolojia
Anaweza actually kuwa Mnigeria akiwa pale Enugu... Kuwa mwangalifu. Hapo Enugu kuna timu ya mpira mashuhuri inaitwa Enugu Rangers.
Do some efforts za kumtafuta acha tuu kumtext whatsapp,,,mpigie simu hata kama ni gharama
Bibie huna subira na hutaki kupoteza muda? Tafuta mwingine basi.
Mpigie simu ya kwaiada mida unayohisi anakuwa nyumbani mostly...
Lakini mada isiwe "kwanini hujibu txt zangu".. manaake communication skills za madem zeru wakibongo tunazijuwa
Zungumza naye mambo ya kawaida tu, kama kumjulia hali.. kumpa story mbili tatu, since umehisi huyo jamaa ni intervert wewe ndio inabidi kujitahidi ku push convo kwa kutafuta topic ambazo wote mtakuwa interested nazo! ..
Kuna nchi nyingine huko hawatumii WhatsApp heavily kama sisi huku.. so hiyo inaweza kuchangia pia.
Nakumbuka kuna wazungu kadha huko U.s mimi ndio niliwa shawishi tutmie WhatsApp badala ya skype!
Ukishindwa kudeal na huyo introvert mtafuta mtu 1 anaitwa Extrovert ni expat atakusaidia zaidi !
Upo kwa your mid 20's
Subiria mwezi mmoja upite,ukiona kimya mtafute; asipopatikana tupo hapa wazungu weusi
VizUri sana sasa tafuta passport ujiandae na safari ya Norway !Hahaha asante sana kwa ushauri mzuri nashukuru amenitafuta na amenipa reasonable reason nimemuelewa.
😂😂😂 kwa nini uteseke binti mrembo, akikutelekeza uje huku ukashangae hata dubaiHahaha asante kwa ushauri kaka, ameshanitafuta alipata tatizo dogo.
VizUri sana sasa tafuta passport ujiandae na safari ya Norway !
Money [emoji383][emoji857]
Amefariki dunia.
Haha au sio! Haya good luck ukawakilishe taifa vema.Kafufuka[emoji28]
Yes wa Norway watu poa sana , ni watu wanaopenda kujifunza tamafuni za jamii nyingine ... !Mungu akibarikia huku mbele Ameen.
Yes wa Norway watu poa sana , ni watu wanaopenda kujifunza tamafuni za jamii nyingine ... !