- Thread starter
- #301
Au tumpeleke ubalozi wake ashughulikiwe[emoji3][emoji3][emoji3] Sema asishtukie unampiga yani Vumilia tu dada ukute ndo mume kweli
Itajulikana muda ukifika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au tumpeleke ubalozi wake ashughulikiwe[emoji3][emoji3][emoji3] Sema asishtukie unampiga yani Vumilia tu dada ukute ndo mume kweli
Be patient, you still have a lot to learn...
Mimi nipo upande wa mtoa mada mbona. Haujui ni namna gani naomba shemeji angu arudi hata hofu zituishe.Hannah tulia. Mfariji mtoa mada.
Be patient, you still have a lot to learn...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] binamu bananga huwa anasema 'kama njaa nzuri, kaa nayo wewe'
Relax huenda hayuko karibu na simu au amepata tatizo akirudi online atakutafuta
Mimi nipo upande wa mtoa mada mbona. Haujui ni namna gani naomba shemeji angu arudi hata hofu zituishe.
Ulikuwa na pressure tu, binafsi sikuona hata jambo la kutilia wasiwasi...siku mbili tu!We need to get a heavy dinner..shemeji is back[emoji16]
Hongera sana kwa kupata rafiki anayekujali! Mjali pia, mtunze, mthamini, usimuumize kwa namna yoyote ile. Ushauri wangu kwako, nadhani usikae bure!!! Endelea kum"text" hata kama hajibu! Onesha wasiwasi wako juu ya ukimya wake, mwambie ukimya wake umekuwa msumali wa moto kwako, unakutesa, unakunyima amani! Mwambie toka mmeanza urafiki amekuwa sehemu yako! Akiumwa, unaumwa! Muulize, Umepatwa na nini? Mwambie katika lolote analopitia, unamwombea aweze toka kwenye hali hiyo!! Narudia tena, usikae kimya!!! Hata asipokujibu, endelea kumtumia message, onesha Upendo wako kwake! Usipofanya hivyo anaweza hisi ulichojali ni pesa yake! Anaweza fikiri wewe ni mbinafsi na hukumhitaji maishani mwako!
Ulikuwa na pressure tu, binafsi sikuona hata jambo la kutilia wasiwasi...siku mbili tu!
Si nimekuambia mimi lazima arudi. Haya kipenzi enjoy sasa[emoji177]We need to get a heavy dinner..shemeji is back[emoji16]
Njaa mbayaAdui yako muombee njaa. Kukosekana hewani kidogo tu kashachanganyikiwa dada wa watu. Akimwambi its over itakuwaje.
Si nimekuambia mimi lazima arudi. Haya kipenzi enjoy sasa[emoji177]
Hshahahaha ushamka maini[emoji2]Itakua kafa na Corona maana inawaua sana...
Fanya mambo mengine...
Wazungu wote huwa wazuri mwanzoni ila ukishaingia kwenye mitego yake
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Njaa mbaya
Njaa haimpendezi mtu kama suti au shela😅😅😅We njaa unaipenda ndugu yangu?
Njaa haimpendezi mtu kama suti au shela[emoji28][emoji28][emoji28]