Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Acha dating na watu usiowajua, watu ambao asimilimia za kukufanyia unyama ni nyingi kuliko upendo wa kweli.

Hivi kweli mtu mnaweza pendana kindezi namna hiyo kupitia mitandao tu, bora ingekua kitambo tena kipindi hiki ambacho ulaghai ni mwingi.

Kua makini, kaa chingo huenda unatengenezwa. Hatokuja yeye ila atakutaka wewe uende.
Usikute alikuwa ans date human traffickers atakujs nyonywa macho shauri zake[emoji1787][emoji2]
 
Bora sisi hatuui, hatutoi figo, hatupeleki wanawake kwenye madanguro, hatuwabebeshi sembe

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Magunia mawili yalichomwa na mwanaume, kupigwa mpk kuuliwa kunafanywa na wanaume wa hapahapa kina jackie cliff kidogo waozee jela kwa kubebeshana sembe na waume zao..so wabaya na wema wapo ulimwengu mzima ni kumuomba Mungu tu awe mtu sahihi.
 
Magunia mawili yalichomwa na mwanaume, kupigwa mpk kuuliwa kunafanywa na wanaume wa hapahapa kina jackie cliff kidogo waozee jela kwa kubebeshana sembe na waume zao..so wabaya na wema wapo ulimwengu mzima ni kumuomba Mungu tu awe mtu sahihi.
Whites are more serious on that,wao kwao hiyo ni biashara wanakuwa kikundi wapo room na laptop zao na ndiyo kazi yao, na sio waafrika tu wanawafanyia hivyo hata wao kwa wao pia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Sanaaa jamani why are we this bitter? Hii kitu tukiiendekeza inaweza kutufanya tukawa maskini.
Wewe ndio masikini unapokea hela from strangers kama dirty money je!? sina uhakika kama una shughuli yeyote ya kukukwamua na uchumi wako

Unalilia mapenzi na mzungu alikushit baada ya kuona uko cheap huna standards unaona unaonewa donge mwenyewe

Kumbe yaweza pia kuwa umetongwa na mnigeria alieko kule lagos vichochoroni .

Basi ukaleta hapa sasa iweje uje kutatambia au iweje mambo yako personal na kimapenzi ulileta hapa ili iweje!?

Unajielewa kweli wewe !? Una akili sawa sawa!?
 
Back
Top Bottom