Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Wewe ndio masikini unapokea hela from strangers kama dirty money je!? sina uhakika kama una shughuli yeyote ya kukukwamua na uchumi wako

Unalilia mapenzi na mzungu alikushit baada ya kuona uko cheap huna standards unaona unaonewa donge mwenyewe

Kumbe yaweza pia kuwa umetongwa na mnigeria alieko kule lagos vichochoroni .

Basi ukaleta hapa sasa iweje uje kutatambia au iweje mambo yako personal na kimapenzi ulileta hapa ili iweje!?

Unajielewa kweli wewe !? Una akili sawa sawa!?

Maskini ya Mungu..pole kaka! Mwanaume unawaza kutambiwa?? [emoji23][emoji23] sio kosa lako lakini.
 
Wewe ndio masikini unapokea hela from strangers kama dirty money je!? sina uhakika kama una shughuli yeyote ya kukukwamua na uchumi wako

Unalilia mapenzi na mzungu alikushit baada ya kuona uko cheap huna standards unaona unaonewa donge mwenyewe

Kumbe yaweza pia kuwa umetongwa na mnigeria alieko kule lagos vichochoroni .

Basi ukaleta hapa sasa iweje uje kutatambia au iweje mambo yako personal na kimapenzi ulileta hapa ili iweje!?

Unajielewa kweli wewe !? Una akili sawa sawa!?

Halafu kumbe sijakwambia! Amerudi bwana[emoji23][emoji23][emoji23] alipata katatizo kadogo.
 
Okey... Kwa hiyo kumrekodi mtu kisha kumsambaza kuna tofauti gani na kumbebesha sembe
Usiruhusu simu kwenye 6×6 , pia mtu asikae na you're nudes maana hisia hubadilika leo marafiki kesho maadui na ndiyo anazitumia kukuattack, waliovujishiwa wengi ni kutokana na kumwamini binadamu mwenzako kupitiliza na mtu kutaka kufidia gharama alizotumia kwako

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Usiruhusu simu kwenye 6×6 , pia mtu asikae na you're nudes maana hisia hubadilika leo marafiki kesho maadui na ndiyo anazitumia kukuattack, waliovujishiwa wengi ni kutokana na kumwamini binadamu mwenzako kupitiliza na mtu kutaka kufidia gharama alizotumia kwako

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Good...hata huko kwenye ngozi nyeupe kuna ABCs za ku-play safe
 
Thanks a lot my dear, i tried to reach him hata kwa simu ya kawaida kumbe shida ni alipasua screen ya simu yake hivyo alikua hata akipata notification hawez kufanya chochote simu ilijaa wino...I was really worried about him for sure na nimefurahi sana to hear from him again...Mungu ni mwema...nashukuru kwa ushauri wako.

Hongera kwa jamaa kurudi.

Ushauri wangu; hakikisha unaliwakilisha taifa vizuri ili iwe njia kwa mabinti wengine wa Kitanzania.

Kwenye mpira, michezo mingine, uchumi, elimu kote tumefeli, tunaomba kwenye hilo utuwakilishe vilivyo.
 
Kwa muda huu mfupi nineona ni mtu poa tu naomba Mungu aendelee hivi hivi tu.
Norway aah nchi poa sana, Scandnavian wote wako poa. DENMARK, SWEDEN, NORWAY.
Hata washkaji nawashauri, ukitaka demu jaribu hizo nchi, utafurahi na nchi nyingine ni FINLAND wako poa sana.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nilikuwa najiona MBILIKIMO maana wale watu ni Warefu kwelikweli.
 
Hongera kwa jamaa kurudi.

Ushauri wangu; hakikisha unaliwakilisha taifa vizuri ili iwe njia kwa mabinti wengine wa Kitanzania.

Kwenye mpira, michezo mingine, uchumi, elimu kote tumefeli, tunaomba kwenye hilo utuwakilishe vilivyo.

Hahaha thanks bro! Ntawawakilisha kwa tabia njema ili ile sifa mbaya kua waafrica ni miyeyusho iwatoke
 
Habari za leo wanajamvi!

Nimeona nilete hili jambo kwenu labda nitapata msaada wa mawazo na ushauri wenu ili nielewenini nifanye.

Mimi ni binti wa mid 20's km unavyojua kila mtu hua na malengo yake katika maisha basi na ana machaguo yake katika maisha km ambavyo mtu anapendelea mwanamke mwenye shape nzuri, au macho mazuri au sura nzuri, vivyo hivyo baadhi ya mabinti hupenda wanaume warefu mara wenye hela basi mimi ni binti nnaependa kudate na ngozi nyeupe (wazungu) ila si vile vibabu vya kizungu[emoji23].

Well, km ijulikanavyo huwez kupata kitu km hukifanyii efforts so nilikiunga na dating sites kadhaa katika one of the dating site nikakutana na kijana mmoja wa umri wa miaka 31 kutoka nchini Norway, huyu hakua kijana pekee niliewah kukutana nae ila wengi hawakuonyesha userious so na mm sikutaka kuwa entertain till nilivyoanza kuchat na kijana huyu, mwanzo alionyesha ukawaida km wengine so ckumtilia maanani sana ila ndani ya muda mfupi tu wa kuchat km week1 alionyesha km ana ka userious flan km kujibu txt ontime, kutoomba nudes (picha za utupu), kutaka kunijua kiundani na kufikia maamuzi ya kuomba if I can be his girlfriend of which I accepeted..alipanga aje nchini mwishon wa mwez huu na alishakata flight ya tarehe hizo za mwishon na hii ni only after 2 weeks of knowing each other, well niliona km things are going too fast ila sikuichukulia in negative way sababu mapenzi hayanaga formula.

Week 2 baada ya kua tunachat nae every day nilipata minor accident iliyonipelekea kuvunjika vidole vyangu vitatu vya mguu nikafungwa P.O.P (hogo) nikamtaarifu kua nimeumia na kumtumia picha swali la kwanza ni aliniuliza "Do you have western union?" Nikamjibu sina akaniuliza unaweza kutumia njia gani kupokea heka kutoka abroad nikamwambia ngoja niulize maana kiukweli nilikua sijui ndio one of my friend akaniambia nitumie "Worldremit" baada ya kumtumia hiyo app alishangaa maana hakuwahi kuitumia before ila aliidownload na akawa ananitumia screenshot kila hatua ili aweze kufill details zangu...baada ya dakika km mbili simu yangu ilisoma nimepokea laki7 za kitanzania kutoka kwake nilimshukuru kwa kweli ukizingatia sikumuomba ile hela na wala sikua na wazo hilo..aliniambia zitanisaidia kwa transport fees baada ya kujua sina personal car.

Tukawa tunaendelea kuchat by the time alikua na likizo za sikukuu za Christmas and new year so muda mwingi alikua online, he seems like he is an introvert masna kwenye video call hua ni km aina ya mtu anaeishiwa maongez though ni mchatiji mzuri, aliniuliza nacope vp hali ya kuwa nyumban mda wote wakat niko na ile P.O.P nikamjib kawaida tu sina jinsi inabid nitulie akaniuliza km nchini kwetu tuna Netflix nikamjibu ndio ila sikua na account akanitumia details za his personal account means user name yake na password yake na na akaniambia " do not freak out there is another girl using my account but thats my sister" so tulikua tunatumia hiyo accout mimi, yeye na huyo user mwingine ambae sikufatilia sana kumjua as long as alishaniambia ni dada yake..akanitumia kias kingine nijiunge na unlimited internet ili nisiwe bored.

Tuliendelea kuchat mpk alipomaliza likizo ya kaz na alivyoanza kazi, well mawasiliano yalipungua sio chatting za muda wote ila nilielewa sababu ya ubusy, ila lazima atatuma txt mara tu baada ya kutoka kazini mtachat au kuongea kidogo ndio atalala.

Juzi ndio ulikua mwisho wa mimi kuchati nae na our last conversation..aliniambia anatoka mara moja kutembea sababu amekaa ndan muda mrefu and he asked me how was my leg? Nilimjibu ila text ile haijafunguliwa mpk leo

Txt inadelever ila in grey tick which means haijafunguliwa, his last seen inaonyesha muda ule ule ambao tulichat mara ya mwisho so ni km hajaingia online tena, ila txt zinafika hofu yangu ni kua ya Mungu ni mengi amepata tatizo labda au? Maana siwez kujump kwenye bad conlclusion maybe amepata tatizo ila txt zinadeliver sena hazijafunguliwa tu na hajaingia online...ameamua kuquit mahusiano au? But hatujapishana kwa lolote au ni mimk ndie nina overthink?

His netflix account still works to me here, sijatuma txt nyingi sababu sion point ya kutuma txt wakati za mwanzo hazijajibiwa na hayuko online...je kwa wengine ishawahi watokea kitu km hii? Ina uwezekano akawa yuko busy sana? Isije nikasubiri meli wakati niko airport..Ndio masna nikaja hapa sababu ya ushauri wenu na mitazsmo yenu inaweza nisaidia.

I have developed some feelings for him honest speaking ila ni vyema nikajua niko position gani kwa sasa ili nisipoteze muda na hisia kwa mtu ambae labda si km nimfikiriavyo au nijaribu kumpigia kwa simu ya kawaida?

What do u think I should do guys? Au nisubiri tu nione itakuaje?

Unaposema usipoteze muda unamaanisha nini? Au kuna mwingine anakuhitaji na wewe unashindwa kuji commit sababu ulishaingia kwa huyu?

Huyo ni binadamu na huwezi kujua kimempata nini, usiumie wala usimuwazie mabaya.... Mnaweza kuwa hamjawahi kuonana ndio maana humuelewi vizuri; na unawezakuta alikua na mahusiano mengine bado anasortout mambo yake/ unaweza kuta ana shida za kisaikolojia inapokuja swala la mahusiano haswa kukutana na watu wapya/ anaweza kuwa mgonjwa na hii omicron sio mchezo/Unaweza kuta sio mtu sahihi kwenye maisha yako na Mungu ameacha iishie hapo...

Kama unaamini mahusiano yako na Mungu yatakupa mahusiano bora na mtu sahihi basi wala usiwaze, wewe endelea kujiuguza
 
Norway aah nchi poa sana, Scandnavian wote wako poa. DENMARK, SWEDEN, NORWAY.
Hata washkaji nawashauri, ukitaka demu jaribu hizo nchi, utafurahi na nchi nyingine ni FINLAND wako poa sana.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nilikuwa najiona MBILIKIMO maana wale watu ni Warefu kwelikweli.

Scandnavian countries wamestaarabika halafu wana ka utulivu flan sio nchi mapepe km za US na zenye ubaguzi wa kishenz shenzi...huyu jamaa ni mrefu pia aliniambia ana 184cm sasa mimi am sure ntakua joti bila shaka[emoji23]
 
Cha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.

Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!

Atulize kitu gani?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom