Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Umepiga penyewe. Mengine ni kupotezeana time. Atulize akienda ovyo linasanukaCha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.
Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!