Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?


Usipende ku assume vitu usivyo na uhakika, ht angekua ni mtz km ningempenda na yuko mbali na mm sina access nyngn ya kumfikia ningekua worried vilevile...after all yy ndio alikua anampango wa kuja sio mm niende na ikifikia muda labda anismbie niende sitaenda kichwakichwa sina ulimbukeni unaonifikiria...assnte kwa ushauri though.
 

No kupiga kawaida sijawahi sababu niikua natumia whatsapp lbd nifikirie hvy baadae nikiona kimya.
 
Hii jua wachana nayo mse[emoji28] ukikamata mgodi lazma ukae kijanja usije ukapoteza line ya fuba![emoji28]
Fikiria unachomwa na jua hadi unasikia harufu ya nyama choma, halafu unaona watu wana drive tu ndinga kali kali barabarani halafu watoto wadogo. Hadi unajiuliza kama binadamu wote ni sawa[emoji23][emoji23].
Fursa ikitokea ni kuchangamkia tu, kisa cha kuzeeka mapema ni nini? Yaani binti wa miaka 25 anakuwa kama mama wa miaka 40 na wakati ana namna ya kurahisisha maisha[emoji23]
 
Sista Njoo taratibu hata sms hajafungua unaanza kutoa vilio . Jee akizifungua na hasijibu sii utakufa kabisa.

Mimi silii sababu namuhitaji saana ni kitendo cha muda tu naweza kupata mwngn tokana na mazingira yangu ya kazi na dating sites km hizo.. hofu yangu ni niendelee kumuhesabia au niendelee na mambo yangu tu!?
 
Atakutafuta leo. Si unaona ilikuwa ni weekend? Mpenzi wako alienda kwa mpenzi wake na simu anayotumia kuchat na wewe aliiacha nyumbani kwake akaondoka na nyingine ambayo sasa wewe hauna.
Usijali atarudi leo, muendelee mlipoishia.
Mpenzi wako ameenda kwa mpenzi wake kwahio ni maswala tu ya kuvumiliana kila mtu ana wakati wake! 😅😅😅 Eh bana this is sick!!!
 
Hebu na mimi nitumie hizo details za Netflix nikiwa natafakari ni kipi kimemsibu shemeji yetu mtarajiwa
 
Hahahahahaha unatambaa na chaki tu😅 sini life tu 😅
 
Atakutafuta leo. Si unaona ilikuwa ni weekend? Mpenzi wako alienda kwa mpenzi wake na simu anayotumia kuchat na wewe aliiacha nyumbani kwake akaondoka na nyingine ambayo sasa wewe hauna.
Usijali atarudi leo, muendelee mlipoishia.

Ah basi km ni hivyo afanye haraka arudi kwa mpenz wake mie kikubwa cha peke yetu kaburi, nimekua na hofu sababu siku niliyopata ajali nikavunjika nilitoka kuchat nae km lisaa tu nikapata ajali mbaya sana ya bajaj ila nashukuru Mungu nilivunjika vidole vya mguu tu katika kujaribu kujinasua, so ingekua vibaya zaidi ningeweza hata kupoteza maisha so my point ni kua chochote kinaweza kutokea ndani ya muda mfupi.
 
No kupiga kawaida sijawahi sababu niikua natumia whatsapp lbd nifikirie hvy baadae nikiona kimya.

You have to try...

Unajua kumtumia tu mtu text inakuwa haina ushahidi kama kaona au kasoma au hajasoma...

Ukipiga simu utakuwa na uhakika kama imepokelewa au lah, na hata ikienda kwa voicemail utajua na utaacha ujumbe...
 
Halafu uache kutumia account ya watu ya netflix, sio uendelee kujimwaga huko bila aibu
 
World remmit, sendwave zote huwa napokelea pesa[emoji28] toka unyamwezini kwa voda yangu! Hapo hujadanganya kabisa.

Kutuma kwenda nje ndio huenda haifai

Watanzania wenzangu tushazoea kudanganyana na vichai vya hapa na pale so sijashangaa sana[emoji28]
 
Kama ulizidisha shida na vizinga ndio ushaachwa hivo

Sikuwahi kumuomba hela wala kumtangazia shida yoyote hata hiyo hela aliyonitumia sikumuomba pia na sikuweka mazingirs ya kumuomba hela...na sikua hata na wazo hilo actually.
 
Mimi silii sababu namuhitaji saana ni kitendo cha muda tu naweza kupata mwngn tokana na mazingira yangu ya kazi na dating sites km hizo.. hofu yangu ni niendelee kumuhesabia au niendelee na mambo yangu tu!?
Unamuhitaji huyo jamaa zaidi ya sana. Siku tatu tu umekuwa na hofu kiasi hicho. Bora hata ingekuwa mwezi,.kweli mapenzi upofu.
 
Hahahaha mzee naona umemchana Live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…