Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

I can tell you , he is ghosting you really and he is feeling happy to do that .
 
 
Ushampata huyo. Nawe tulia. Kama ngoma yako ni yako. Akinasuka kwenye mtego poa tu. Njemba za kizungu huko Norway zenye kupenda dada zetu wa kibongo ziko bwelele. Nina shemeji wa ki Norway. Ila kibabu! [emoji56][emoji4][emoji1533][emoji41][emoji857][emoji1786]

Itakua ni watu wanaopenda blacks sababu hata wakati tunaanza kuchat he seems obsessed, i noted that from him.
 
Mi naitwa Vladimir niko hapa Moscow City[emoji28] napenda sana toto nyeusi sema mapepe yao ndio kero...karib sanaa!!!

Vlad mi siwapend nyie warusi na waitaliano asante sana kaka kozlov vladmir.
 
I can tell you , he is ghosting you really and he is feeling happy to do that .

He wasn't actually sababu amekua available na with reasonable reason...asante kwa ushauri wako[emoji120]
 
Makasiriko sio ya nchi hii

Yaani mtu maisha umeamua wewe unaambiwa mara njaa mara nini..wanataka kutulazimisha kukaa hapa kwa hawa wanaoinsist kuchepuka ni nature kwa wanaume tena kwa kujisifia kabisa, kumpiga mwanamke ni kumfundisha adabu, kua na wananwake wengi ni ufahari na kumzalia mkeo watoto wa nje ndani ya ndoa ni kawaida...Mungu anisaidie kupanga ni kuchagua aisee.
 
He wasn't actually sababu amekua available na with reasonable reason...asante kwa ushauri wako
emoji120.png
Amekupiga sound gani?
Km unazowapigaga wewe mademu zako.
Sawa
 
Back
Top Bottom