Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

[emoji3][emoji3][emoji3] Wabongo bhna, mnawezaje kutafuta wachumba thru dating sites??
Sio wabongo tu ni duniani kote mkuu, kwani mleta mada kapata mchumba mbongo?

Na huko ulaya na marekani ndio zaidi kuna kila aina ya kudate... hadi "blind date "
 
Huyu dada ana emotional control nzuri sana.

Nimesoma comments za wana nikasoka na majibu yake ni mtu asiye na mawenge.


Sasa kuna mawili

Either

1. Wewe ni mwembamba labda na mweusi kwa hiyo umeona hizi ndo type za wadhungu maana wabongo wanapenda manyamanyama

Au

2.Una njaa

Ila mimi hayo yananihusu nilichopenda ni jinsi unavyojibu watu kwa utulivu

That level of utulivu is sexy.[emoji3059][emoji3059][emoji3059]

Thanks for the compliment, mimi si mwembamba am a cury girl nna weigh 68kg, brown skin na niko sawa kwa wa Africa kuliko hata wazungu wenyewe ila km umechunguza kwa makini wazungu wa ss hv wanapenda shape kuliko wa zamani ndio maana hata wao wenye pesa zao wanafanya surgeries...nadhan kikubwa ni usibadili rangi ya ngozi..na usiwe tipwatipwa.

Kuhusu ujibuji wangu namshukuru Mungu alinibariki kufikiri kbl sijaongea au kuandika ndio maana hata km mtu akinikwaza hivi face to face ni heri nikae kimya kwanza hasira ikishuka ndio naongea...na mm ni mgumu sana kukerekwa sipendag kumpa binadam chance ya kutawala matendo yangu.

Kuhusu njaa sijajua umeiweka kwa level ipi ila kibongo bongo ni mdada wa kawaida niliyetoka mazingira ya kula, kusoma na kuish vizuri tu...nna kazi na mshahara wa kunifanya niishi very comfortable.
 
umedevelop feelings na mzungu au hela!?!...nyie ndo mnapelekwaga ulaya mnaenda kua organ donor bila kujua
Majuto mjukuu

Sasa kaka wewe ndio umekua mimi? Hela mbona hapa wabongo wanahonga sana tu? Maana kuna wabongo wana hela nzuri tu na hawaoni shida kukupa km akikupenda na nimeshawah kutana na mtu wa hivyo.

Well km walioolewa na wazungu wote ni organ donors bas na mm ntakua ila km sio wote basi am not worried at all.
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
Anaonesha ana akili zake nzuri tu ,mtazamo wake hata Mimi nimeupenda kwakweli
Ana tatizo Moja tu linalomsibu!!
Naam tatizo lenyewe ni kutotaka kufungamana na sisi wazungu weusi [emoji1787]


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app

Hamna kaka basi tu mambo ya choices[emoji28]
 
Kama nakuona akili ilivyotulia sasa.. hongera kwa kupenda na kupendwa.. anza kutayarisha mipango ya kuhakikisha hizo siku anakula bata haswa usisahau kwenye utalii kubuku na safari akajionee wanyama pia.. Zanzibar kama haupo huko.. kila la kheri.. muonyeshe unaweza kutumia pesa yako kumpa raha pia.. mkitoka unamwambia utalipia bill unafanya style ya kama kupokezana kwa kujipimia urefu wa kamba yako.. mara tano chomeka wewe moja au mbili muhimu ukizidisha poa tu.. hata kulipia taxi etc
Akija hapa uber/bolt zote lipia wewe...kiufupi onesha na wewe una mchango fulani kwenye mahusiano yenu! The ideas is there's something you can offer katka mahusiano yenu ukiachana na pussy!

Tofauti na hapo ukijifanya kuleta mapenzi yenu ya kibongo msela anakuita akutoe uot kqa gharama zake ... unaaanza ooh sina nauli,

Ukitumiwa ooh tuma na yakutolea !
 
Si alikiambia kuwa anatoka kidogo?

Just wait, if it's over will be over.

Tiki mbili na meseji haifunguliwi it's normal.

Jipe subira

Anatokaga na still anakua available hofu yangu ni baada ya kuona ni mda mref almost siku tatu...by the way alitud alipata tatizo kidogo aliangusha simu ikajaa wino kwa screen so notification zote anapata ila screen haifunction..thanks for the good advice[emoji120]
 
angalia usijetolewa kafara. TRUE STORY Hiyo

Kuna dada pale Mwz alikuwa mwanachuo, kwenye miaka kati ya 2005 hadi 2011 alikutana na jamaa wa kinigeria mtandaoni, wakaelewana vzr tuu, wakapatana kimapenzi, baada ya siku tatu jamaa likamrushia mdada milioni moja na kumuhaidi watakutana maana jamaa naye huwa anatembelea mataifa mbalimbali.

Such a sad story, i hope it won't be like this.
 
Akija hapa uber/bolt zote lipia wewe...kiufupi onesha na wewe una mchango fulani kwenye mahusiano yenu! The ideas is there's something you can offer katka mahusiano yenu ukiachana na pussy!

Tofauti na hapo ukijifanya kuleta mapenzi yenu ya kibongo msela anakuita akutoe uot kqa gharama zake ... unaaanza ooh sina nauli,

Ukitumiwa ooh tuma na yakutolea !

Hii kitu hata kwa wabongo wenzangu hua sipend kuifanya, hua napenda kutumia hela na mtu nnaempenda japo kibongo bongo mwanaume akikupenda anakua hapendeleo sana utumie hela yako...ntafanyia kazi huu ushauri asante sana.[emoji120]
 
angalia usijetolewa kafara. TRUE STORY Hiyo

Kuna dada pale Mwz alikuwa mwanachuo, kwenye miaka kati ya 2005 hadi 2011 alikutana na jamaa wa kinigeria mtandaoni, wakaelewana vzr tuu, wakapatana kimapenzi, baada ya siku tatu jamaa likamrushia mdada milioni moja na kumuhaidi watakutana maana jamaa naye huwa anatembelea mataifa mbalimbali.

wiki ikawa ndo inamalizikia, jamaa likamtumia tena mdada milioni 2, huku wakiendelea kuwasiliana vzr tuu mpaka mdada wa watu kashangaa na
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa funza kwan ni nini kuna shida gan

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
angalia usijetolewa kafara. TRUE STORY Hiyo

Kuna dada pale Mwz alikuwa mwanachuo, kwenye miaka kati ya 2005 hadi 2011 alikutana na jamaa wa kinigeria mtandaoni, wakaelewana vzr tuu, wakapatana kimapenzi, baada ya siku tatu jamaa likamrushia mdada milioni moja na kumuhaidi watakutana maana jamaa naye huwa anatembelea mataifa mbalimbali.
CHAI, HUWEZI OZA KIFUA AFU UWE MZIMA KUTOKA NIGERIA MPAKA MWANZA.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa funza kwan ni nini kuna shida gan

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Sawa ila kaa ukijua unapo pokea vya bure sana, kuna wakati itafkia zamu yako ya kufidia na kulipia hivo vya bure. Siku yakikukuta ndo utaelewa kwasasa huwezi elewa.
 
Alafu ukifuatilia wasukuma wengi tafiti zangu zinaonyesha wameolewa uzunguni ,ila Dada zetu maisha ni haya haya kubarini kuishi kwenye uhalisia wenu na mu enjoy hasa, mambo ya kidhungu waachieni wadhungu, maisha yenyewe mafupi bado mdada unaji complicatisha ,unaolewa udhunguni ukaishi tamaduni ngeni za watu ili msifiwe au Hahahaa.
 
Alafu ukifuatilia wasukuma wengi tafiti zangu zinaonyesha wameolewa uzunguni ,ila Dada zetu maisha ni haya haya kubarini kuishi kwenye uhalisia wenu na mu enjoy hasa, mambo ya kidhungu waachieni wadhungu, maisha yenyewe mafupi bado mdada unaji complicatisha ,unaolewa udhunguni ukaishi tamaduni ngeni za watu ili msifiwe au Hahahaa.

Wewe ndio unaona sifa wenzio tulioamua tunapenda so relax kila mtu aishi maisha anayoona yanamfaa.
 
Huo ulimbukeni na utoto tu hahaaa.... after all wakati hausubiri 2030 ni kesho
 
Back
Top Bottom