Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaonesha ana akili zake nzuri tu ,mtazamo wake hata Mimi nimeupenda kwakweli
Ana tatizo Moja tu linalomsibu!!
Naam tatizo lenyewe ni kutotaka kufungamana na sisi wazungu weusi [emoji1787]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Punguzeni jazba na wivu achani awe na hofu na babe wake.
Fantasy zinawaharibu sana dada zetu
Sawa endelea kujichakata kimawazoFantasies turn out to be the reality[emoji16]
Twende nae taratibu Huyu mdogo wetu. 🤣🤣Unawaza utapata wapi tena laki 7 baada ya kufunga p.o.p ya uongo. Njoo upambane na waswahili tufukunyuane bila mizinga mikali.
Maendeleo hayana chama
Sawa endelea kujichakata kimawazo
Twende nae taratibu Huyu mdogo wetu. [emoji1787][emoji1787]
Utasoma tu.Mi si nitasoma mpk mi phd sasa[emoji1787][emoji1787]
Inakuaje kuaje maaana kuna someone yuko China kutuma pesa akaanambia ni process ndefuHata voda huwa napokelea mkwanja
Kwa china sijajua ila kwa ulaya na marekani ndio mi hupokeaInakuaje kuaje maaana kuna someone yuko China kutuma pesa akaanambia ni process ndefu
Kuna mwanangu aliwahi ntumia hela ila sijui alituma kwa style gan ila niliopokelea MPesaInakuaje kuaje maaana kuna someone yuko China kutuma pesa akaanambia ni process ndefu
Muulize tuoneKuna mwanangu aliwahi ntumia hela ila sijui alituma kwa style gan ila niliopokelea MPesa
Kupitia michango ya wadau wengi nimeamini watanzania wanachuki kali hasa wanaume, [emoji1787]
Tafuteni hela kaka zangu, mkiwa na hela hamuwezi kuumia mkimuona dada yenu anadate na mzungu.
Relax time will tell
We unafikiri hatuna hela, hela zipo bhana 😁😁😁Kupitia michango ya wadau wengi nimeamini watanzania wanachuki kali hasa wanaume,![]()
Tafuteni hela kaka zangu, mkiwa na hela hamuwezi kuumia mkimuona dada yenu anadate na mzungu.