Mzungu kakataa Mimba

Mzungu kakataa Mimba

JF hakuna mtu amewahi kusema jamani kimenikuta kitu flani moja mbili tatu.....
Lazima aseme jamaa yangu....ndugu yangu.... rafiki yangu.... and so so..

Mwambie atulie kwanza before aamue chochote
Lakini cha ajabu akitokea mtu akasema kuna rafiki au jamaa yangu ameshinda 500M kwenye jackpot, anaomba ushauri afanye biashara gani au anaomba ushauri anunue gari gani kati ya range rover na g wagon, hutaona mtu akilazimisha kwamba huyo rafiki anayemsemea ni yeye..this is africa and not only jf!!
 
Hi guys,

Nahitaji advice , ndugu yangu met a guy from a dating site , ni mzungu ( sitaki kutaja country) and he is aged enough , things were going well na mwanaume alikua anaonesha upendo Ana care na Ana take care of her expenses ( spoiling her) .

Sasa the guy akataka ndugu yangu amvisit, so aka book flight for her and ndugu yangu went and they met and they were both happy . She stayed kwa mwezi Mzima ( playing housewife) .

Alaf uyo mzungu Ana one child ni a teenager na ana claim kuwa alisha divorce na mke wake .

So ndugu yangu akarudi Tanzania and unfortunately akaja kufind out kuwa she is pregnant, Sasa shida kamawambia uyo mzungu kuhusu iyo mimba, Ila the guy anaikataa iyo mimba , anasema sio mtoto wake, can you imagine? Na ameacha kutuma money for expenses.

Ndugu yangu yupo depressed sana mpaka anafikiria atoe iyo mimba ila nimemshauri asifanye ivyo but haelewi . Alaf kingine ndugu yangu hana kazi ambayo itamsaidia kumtunza uyo unborn child.

Huyo akusanye data zake zoteeeee anazo jua, wapi anafanya kazi au kama hafanyi ni yapi

Aweke picha, tiketi, mawasiliano n.k.

Aanzie Embassy na kuonyesha kila kitu

Kumbuka ziwe copy

Asome sheria za nchi za mbaba analeaje mtoto asiyeishi naye nae akatwe psa huko bila tatizo..

Akija kuzaa basi aombe DNA.. Nae ahakikishe mtoto wa Mzungu kweli if ka do na wengine pia

Ubalozi labda utamsaidia

Alee mimba kwa sasa vizuriiiii

Asiongee sana silaha kimya kimya bila vitishooooo
 
Kisa ni mzungu ndo ukiachie kizazi chako ovyo ovyo 😕
mi ndo huyo mzungu kusema kweli nimeghafirika sana kusingiziwa mimba it hurts me!, I just wonder how is it possible..?
am not that kind of dungadunga!
 
mi ndo huyo mzungu kusema kweli nimeghafirika sana kusingiziwa mimba it hurts me!, I just wonder how is it possible..?
am not that kind of dungadunga!
Emu rudisha mali mlizowapora babu zetu uko , Nina hasira sana na nyie watu
 
Mwambie ailee mimba, akijifungua, kama mtoto ana damu ya kizungu, amtumie picha Mzungu - Mzungu hawezi kukataa. Ila akitokea Mtoto Black - hapo imekula kwake....Ila Mwambie kuwa hata Wazungu - wengi ni wabangaizaji tu...Msidhani wote wana good life...
 
Huyo akusanye data zake zoteeeee anazo jua, wapi anafanya kazi au kama hafanyi ni yapi

Aweke picha, tiketi, mawasiliano n.k.

Aanzie Embassy na kuonyesha kila kitu

Kumbuka ziwe copy

Asome sheria za nchi za mbaba analeaje mtoto asiyeishi naye nae akatwe psa huko bila tatizo..

Akija kuzaa basi aombe DNA.. Nae ahakikishe mtoto wa Mzungu kweli if ka do na wengine pia

Ubalozi labda utamsaidia

Alee mimba kwa sasa vizuriiiii

Asiongee sana silaha kimya kimya bila vitishooooo
Duh cheki huu ushauri hivi mnatuchukuliaje sisi wanaume
Hawa viumbe hawafai
 
Mwambie ailee mimba, akijifungua, kama mtoto ana damu ya kizungu, amtumie picha Mzungu - Mzungu hawezi kukataa. Ila akitokea Mtoto Black - hapo imekula kwake....Ila Mwambie kuwa hata Wazungu - wengi ni wabangaizaji tu...Msidhani wote wana good life...
Rangi nyeupe ndo zinawachanganyaga, ilitakiwa ujue utajiri alionao ndo uzae. Kuzaa na mzungu maskini Bora uzalie hizi mbupu za kiafrika TU
 
Emu rudisha mali mlizowapora babu zetu uko , Nina hasira sana na nyie watu
instead of saying sorry for me now you're attacking!, which kind of a person are you..?
can't you see i have a problem and need a solution!.
don't be that way.
 
Back
Top Bottom