waziri2020 Senior Member Joined May 31, 2019 Posts 197 Reaction score 468 Sep 12, 2021 #141 Tupatie picha kwanza tuzione tofauti na hapo fix
Chris wood JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 1,667 Reaction score 5,043 Sep 12, 2021 Thread starter #142 Picha ziko hapo chini
Komeo Lachuma JF-Expert Member Joined Oct 31, 2014 Posts 7,926 Reaction score 17,030 Sep 12, 2021 #143 Chris wood said: Ok wakishasema wanatafuta pakwenda kuuza, inakuwaje baada ya hapo Click to expand... We si unaona deal....na wao wanaonekana washamba. Anakuja mwingine anajiunga upande wako kutaka kuwadhulumu akikwambia madin hayo yana thamani kubwa sana. Myanunue kwa bei flani kwa jamaa kisha muwaache kwenye mataa nyie mkauze kwa mamilion....
Chris wood said: Ok wakishasema wanatafuta pakwenda kuuza, inakuwaje baada ya hapo Click to expand... We si unaona deal....na wao wanaonekana washamba. Anakuja mwingine anajiunga upande wako kutaka kuwadhulumu akikwambia madin hayo yana thamani kubwa sana. Myanunue kwa bei flani kwa jamaa kisha muwaache kwenye mataa nyie mkauze kwa mamilion....
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Sep 14, 2021 #144 Victoire said: Mrudishie. Umaskini mbaya sana.Badala ta kuwaza kuanza kumtafuta ili umrudishie,unawaza kuuza. Du hatareee. Click to expand... Mawazo ya wana ccm hayo
Victoire said: Mrudishie. Umaskini mbaya sana.Badala ta kuwaza kuanza kumtafuta ili umrudishie,unawaza kuuza. Du hatareee. Click to expand... Mawazo ya wana ccm hayo