Waislamu nao watakuja waseme "Na mwarabu asingewajengea ikulu ya magogoni?"
Hizi inshu za udini siyo nzuri mkuu
Kichwa cha familia hikiHivi wamisheni mnaowaita Wakoloni wasingeanzisha Simba na Yanga leo hii mngeshangilia nini? Timu zenu mlizoanzisha kama lipuli, maji maji & Co. hazijulikani hata zilipo, halafu kuna watu wanabeza Ukristu na mchango wa Kanisa tanzania.
kabla ya Kanisa kuingia tanzania kulikuwa hakuna timu ya mpira …
Jifunze historia.Mimi ni mkirsto lakini ukweli usemwe,unaweza Google pia,Ikulu ilijengwa na mwarabu.Wajerumani walikuja naa kuikuta ikiwepo na kuibadilisha matumizi baada ya kujimilikishanani alikudanganya Ikulu yetu ilijengwa na mwarabu? Ikulu ilijengwa na wakristu wamisheni kutoka Ulaya mnaowaita wakoloni …
Ikulu ilikua madrasa, na ndiyo dar ul salaam (dar es salaam) yenyewe,yaani nyumba ya amani/salama,Hilo kanisa huko ufukweni lilikua msikiti,yaani mkoloni alipora ardhi ya ufukweni akajenga ofisi zake na nyumba za kuabudia,ocean road hospital ni mabweni na msikiti.nani alikudanganya Ikulu yetu ilijengwa na mwarabu? Ikulu ilijengwa na wakristu wamisheni kutoka Ulaya mnaowaita wakoloni …
Yanga ni timu ya weusi,ikiitwa young blacks mwanzo,haikuruhusiwa kishiriki ligi ya wazungu mpaka baadae Sana,so acha uwongoHivi wamisheni mnaowaita Wakoloni wasingeanzisha Simba na Yanga leo hii mngeshangilia nini? Timu zenu mlizoanzisha kama lipuli, maji maji & Co. hazijulikani hata zilipo, halafu kuna watu wanabeza Ukristu na mchango wa Kanisa tanzania.
kabla ya Kanisa kuingia tanzania kulikuwa hakuna timu ya mpira …
Nini? Hao hawana mambo makubwa kama hayo.Waislamu nao watakuja waseme "Na mwarabu asingewajengea ikulu ya magogoni?"
Hizi inshu za udini siyo nzuri mkuu.
Ikulu yao ilikuwa Bagamoyo, hii nyingine acha kuihusianisha na hao raia.Nani alikudanganya Ikulu yetu ilijengwa na mwarabu? Ikulu ilijengwa na wakristu wamisheni kutoka Ulaya mnaowaita wakoloni.
wapuuzi wako wengi!Waislamu nao watakuja waseme "Na mwarabu asingewajengea ikulu ya magogoni?"
Hizi inshu za udini siyo nzuri mkuu.
AaaahaaaaKichwa cha familia hiki
Ikulu yao ilikuwa Bagamoyo, hii nyingine acha kuihusianisha na hao raia.