pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Ni kweli ngozi nyeupe hata ikiwa jangili ikitunguliwa inageuzwa kesi kuwa alikua kwenye doria.Ingekuwa ngozi nyeusi hapo kungefanyika namna lakini NYEUPE kutoka yuropu,sidhani kama inaweza fanyika lolote iwapo hii taarifa ni ya kweli zaidi labda ni kumfukuza nchini
Naona boss wako kashokwa pabaya ,,kipindi cha kampeni si ndo alikuwa anagawa hela,,,mkuu habari zako zinaukakasi kwa kuwa hata ile ya Uvccm uliyoileta kwenye jukwaa hili jana ilikanushwa vikali na Viongozi wa Kuu wa Taasisi hiyo.
Pia kwa mtu anayekusoma katika namna ya udadisi na mwenye kuipa kazi Akili yake basi atagundua kitu katika Mabandiko yako tena kitu ambacho hakina faida kwako, labda kwa Huyo unayempigania.
Jana nilikusapoti katika Andishi lako kuhusu Uvccm Kuandaa Maandamano lakini nilipokuja kuliona kanusho lao, nilikitoa maana na Kukudharau kwa kuwa Unaendeshwa na Chuki, wivu, fitna, majungu pamoja na Siasa za maji ya Mtaroni....
Hatuwezi kumlinda January kwa Kuwa Hata yeye mwenyewe amekubali kuipokea pesa hiyo. Lakini Licha ya Hivyo kamwe hatuwezi kumuacha mpuuzi Mmoja aendelea kukiharibu chama kwa Hekaya Za Kuzusha...
TIME WILL TELL
Anatumia kamchina msamehe tuMbona una hasira!? Uzi kichwa cha habari umetaja hotel ya Hyatt, au hukusoma heading?
Tunajua January ana jeshi kubwa kwenye mitandao. Ila poleni sana.... Kesho hamtaamini macho yenumkuu habari zako zinaukakasi kwa kuwa hata ile ya Uvccm uliyoileta kwenye jukwaa hili jana ilikanushwa vikali na Viongozi wa Kuu wa Taasisi hiyo.
Pia kwa mtu anayekusoma katika namna ya udadisi na mwenye kuipa kazi Akili yake basi atagundua kitu katika Mabandiko yako tena kitu ambacho hakina faida kwako, labda kwa Huyo unayempigania.
Jana nilikusapoti katika Andishi lako kuhusu Uvccm Kuandaa Maandamano lakini nilipokuja kuliona kanusho lao, nilikitoa maana na Kukudharau kwa kuwa Unaendeshwa na Chuki, wivu, fitna, majungu pamoja na Siasa za maji ya Mtaroni....
Hatuwezi kumlinda January kwa Kuwa Hata yeye mwenyewe amekubali kuipokea pesa hiyo. Lakini Licha ya Hivyo kamwe hatuwezi kumuacha mpuuzi Mmoja aendelea kukiharibu chama kwa Hekaya Za Kuzusha...
TIME WILL TELL
Yap niko naye hapa Hotelini kwake....
Mipasuko inaeleweka lakini lazima kila upande utoe taarifa rasmi ...jana kanusho lilikuwa rasmi while taarifa yako haikuwa rasmi ....weka wazi ili uaminike zaidi ...UVCCM wenyewe saizi washamegeka. Wanatoa tamko, then watakanusha.... Wamejaa unafiki, njaa, utapeli, na kujipendekeza
***Ingekuwa ngozi nyeusi hapo kungefanyika namna lakini NYEUPE kutoka yuropu,sidhani kama inaweza fanyika lolote iwapo hii taarifa ni ya kweli zaidi labda ni kumfukuza nchini
Nope, kwa nini wauliza hivyo?!Umechanganyikiwa???
Weka picha yake huyo mutaliano
Mkuu si utulie mpaka hiyo kesho ili ukosoe vizuri akili za hao unaowaita wapumbavu.. Kama una hakika sana kwamba haiwezi tokea subiri hiyo saa 8 basiKwa kweli NAHOJI akili za watu hapa kama hii ndo wanafikiri inaenda tokea! Tatizo watu wanatumia MIHEMKO kufikiri.
Yaani akajikaange right in front of the media?? The ITALIAN NATIONAL???Haiingii akilini. Kama ataongea kweli, expect a lot of REFUTATION.
Hao vijana wa UVCCM walizoea kupewa vilaki moja moja na January saizi naona wanahaha kweli kweli.... Hawataki kutafuta kazi halali, wanabaki kujipendekeza tu...Naona boss wako kashokwa pabaya ,,kipindi cha kampeni si ndo alikuwa anagawa hela,,,
Hivi mlivyokiwa mnamuita lowassa fisadi bila hata chembe ya ushahidi mlikua hamjui hili?njia ya mwongo, mwizi na mnafiki ni fupi sana, let us wait and see, it is going to be a tough week for January Makamba and familyWanataka kumhujuma Makamba tu, Makamba Magufuli akikufukuza jitokeze hadharani kuhusu Ushindi wa Magufuli, usikae kimya watakuita fisadi maisha yako yote. Ni vizuri kuvumiliana wakati huu mgumu kwako
Jibu swali bwana mdogo....Tamko lile ulilitoa wapi?UVCCM wenyewe saizi washamegeka. Wanatoa tamko, then watakanusha.... Wamejaa unafiki, njaa, utapeli, na kujipendekeza