Tetesi: Mzungu/Muitaliano wa January Makamba kuongea na waandishi wa Habari kesho Saa Nane, Hyatt Hotel

Status
Not open for further replies.
Sasa naye si atajichomesha kea kosa la kuhonga?
Kumbe hawa ndo wanaotoa rushwa nchini na wakishindwa kufanikiwa wanakuwa wakali. Asante kwa kuja,thanx for coming mzungu; hakika umejiingiza kwenye mdomo wa mamba. Watoa rushwa na wapokeaji rushwa kama ninyi ndo mnaotafutwa na serikali hii ya awamu ya tano.
 
Hujui kwamba mtuhumiwa anaweza kugeuka na kuwa shahidi upande wa mashitaka ili kupata ushahidi wa kumtia hatiani mwenye
 
In the 70's, my late Dad once said, "mwanangu nenda shule hadi sekondari na baadaye ufike Makerere. Sitakubali upate kazi za kunyooshewa mikono juu (kupigiwa kura). Zina laana." Hilo sikuliona wakati huo, until now.
 
You have spoken sense[emoji122] [emoji122]
 
Kwi kwi kwi kwiiii January ni Jizi sana, nakumbuka Malaria no more!! Ya Mh. Sugu
 
CC.lizaboni anachungulia tu na kupita........vijana wa lumumba 46 buku 7 wanapita tu huku jana,walikuwa wanapita nakusema,lafudhi siyo ya mtaliano
Bosi wao kakalia kaa la moto,wanawaza ajira yao itakuaje?maana Magufuli hana mpango nao hao vijana buku7.wezi wa kura.
Lizaboni Ritz kahtaan MwanaDiwani FaizaFoxy
Hivi kugombea ubunge kupitia ccm lazima uwe na pesa ya rushwa?maana naona scandal zote ni pesa za uchaguzi
 
Hujui kwamba mtuhumiwa anaweza kugeuka na kuwa shahidi upande wa mashitaka ili kupata ushahidi wa kumtia hatiani mwenye
Uko sahihi kabisa. Na ndio mana kesi ya Radar iliisha hivi hivi, kwa sababu mtuhumiwa huku kwetu alikuwa ni shahidi muhimu Uingereza
 
In the 70's, my late Dad once said, "mwanangu nenda shule hadi sekondari na baadaye ufike Makerere. Sitakubali upate kazi za kunyooshewa mikono juu (kupigiwa kura). Zina laana." Hilo sikuliona wakati huo, until now.
Well said..... Mkuu......
 
Ila ktk paragraph yako ya kwanza, huyo Muitaliano sio NAIVE kivile kuwa hajui kuwa IGNORANCE OF LAW IS NO EXCUSE.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…