Na changamoto katika ndoa yangu. Mke wangu jeuri sana, Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.

Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
 
kachepuke na watoto wa shule ya msingi,hakuna single mother pale..
 
Kwahiyo sahivi uko wapi?
 

Ondoa utegemezi kwa mkeo na wengine kwa kutoa mawazo kwenye ngono, ukiwa mtumwa wa ngono lazima utumikiewanamke!
 
 
37 unajiona Mzee wakatii mm Nina miaka 40 uku Wana niita kijana barobaro ,single day,handsome ,.....imekuwajee ww mwenzangu uwe Mzee na 37 au ndio wale mavaa miwani sura ishajikunja kisa kuzuia miwani isidondoke mkuu...

Michepuko na mabinti wachuo Bado hawatakupa furahaa unayotaka na furahaa kamwe uwezi pewa na mwanadamu mwezio ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…