Na changamoto katika ndoa yangu. Mke wangu jeuri sana, Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa

Na changamoto katika ndoa yangu. Mke wangu jeuri sana, Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa

Utaugua tezi dume mkuu,

Netanyau alinogewa na vita,kasahau kushenyeta

Jana kapimwa kakutwa na tezi dume stage 3

NI FEDHEA KWA KWELI
Hapna mkuu dawa za haya mauchafu nikarudi nyumbani nazinywa kinouma, ila manufaa ya kubaki hivyo ni makubwa 😁
 
Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.

Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Yaan wewe 37yrs unajiona ushakuwa mzee,na sisi above 40!

Mkuu mwanaume hazeeki,ivyo vitoto vya chuo ni size yako piga tu!
 
Duh!!
Mtoto wa miaka 37 anajiita Mzee.....bwana mdogo unaonekana unakunywa Sana pombe
 
Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.

Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Ukome kabisa kwani huo ujeuri umeanza kuuona saizi? Si ulisema unampenda kwenye shida na Raha? Hizo ndio shida zake unatakiwa kuongezeka Upendo Sasa 😆😆

Mwisho mwanamke yeyote utamuina at first time Sasa itategemea kipi unaweza vumilia,sio unatongoza mwanamke as if unamlazimisha eti unampenda ,huu ndio mda wa kuonesha huo Upendo sinaga ushauri Kwa watu wajinga 🤣🤣
 
Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.

Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Mwanamke mkaidi ndani ya ndoa hata nguvu za kiume ukiwa nae hupotea Wala hamu ya kusex nae hupotea!!

Kama hujui unaweza kufikili huna nguvu za kiume au umelogwa kumbe migogoro ndani ya ndoa hupelekea kuathilika kiakili ambayo hufanya kazi ya kuamusha hisia za mapenzi.

Mi nikupe pole tu, Ila dini yako kama inaruhusu kuoa mke wapili basi endelea kutafuta ili uoe mke wa pili ,

Au laa , fuata taratibu za kisheria za kuivunja ndoa yako maana uvumilivu huwa unamwisho wake!

Usije ukajikuta umeua bila kukusudia au ukajiua kutokana na msongo wa mawazo.

Mimi ni hayo tu ila subiria wengine wajuzi wa mambo waseme.
 
Pole sana mkuu.

Kutafuta faraja nje ya ndoa, ni kutengeza tatizo zaidi.

Umejaribu kukaa na mwenza wako ( mkeo ) katika mazingira ambayo kama mtu na rafiki yake na mka zungumza ?

Kuna mahali tunawaona wana kiburi kwasababu tunashindwa kuwa treat fair ( tunashindwa kuwaonesha upendo kama mama kwa mtoto ), matatizo yake ndio kama hayo.

Mala nyingi chanzo cha kiburi kwa wanawake ( mke )huwa tunashindwa kuwa handle na kuwaonesha upendo, ila tunapenda kuonesha utemi. Kaa chini tafakari, njia unayotumia Haina solution isipokuwa unatengeza tatizo lingine.
kuna aina ya mwanamke jeuli hata umuonyeshe upendo wa kiasigani habadiliki,mwamba yeye mnapishana sebureni kama marobot,yeye ni ukauzu tu.unafikili mwanamke wa hivi hata kitandani utamuanzaje!! mtakua mnafanya mapenzi au mnabakana.mwanamke mzuri ni mwenyekuonesha furaha kwa mume wake hata kukiwa na changamoto anatakiwa awe na uwezo wa kujadili kwa matumaini.
mwanamke jeuri wa hivyo wewe muache akae na watoto wake awapelekeshe hapo hadi siku akifurahi utamuona tu.
 
Nimejaribu kutafuta furaha nje ya ndoa nimekosa nimeamua kuhanisha energy yangu niipeleke kwenye kujijenga kiuchumi,kiafya na kijamii na kupuuza anayonifanyia namuona kama wa kawaida naona kaanza kujirudi na kuniheshimu
 
Back
Top Bottom