Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
UwongoMwaka huu unapita sijashiriki hilo tendo kabisa kwa hilo najivunia mno 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UwongoMwaka huu unapita sijashiriki hilo tendo kabisa kwa hilo najivunia mno 😁
Zile chupi za chuma sijui zipo, funga kabisa na funguo.tupa mtoni kabisa.Mwaka huu unapita sijashiriki hilo tendo kabisa kwa hilo najivunia mno 😁
Sure mama mchunga wewe nione hivi hivi tu😁Uwongo
Haaaa unajua kuuweza na kuutiisha mwili mkuu,hongeraMwaka huu unapita sijashiriki hilo tendo kabisa kwa hilo najivunia mno 😁
Location Hizi Hapa, :-.UDOM, Chuo Cha Mipango, DECA, CBE IFM,STJohnSiku hizi vitoto navyo vinataka mkubwa anayejua kuhudumia mzee,tafuta location nzuri na ramani ya kumpata aliyehitimu shule na hajapata kazi wala biashara miaka 23-26 hawa wako serious sana
A FEW MOMENTS LATER.....Mwaka huu unapita sijashiriki hilo tendo kabisa
Wewe unataka kutatua changamoto ipi?Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.
Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Kwanini haujashiriki?Mwaka huu unapita sijashiriki hilo tendo kabisa kwa hilo najivunia mno 😁
Utasikia .. uongoo uongoo😆😆😆Halina Maana kwa mtu alie seriously na pesa😁😁😁
Afadhali umemwambia ukweli, anaonekana shida ipo kwake halafu anamsingizia mkeweUnataka wa age yako[37] ambaye hana watoto? Mbona huwapendi dada zetu...
Tunaenda muunganisha na Benja neta nyauTezi dume hakuachi salama
Ili amharibie aanze kuitwa single mother kama hao anao wanyanyapaa, hizo age awaache waolewe akatafute mankula wenzie kama mkewe kamshinda huko nje vipi! Mke hawezi taka mahitaji makubwa wakati anajua hali yako, mchepuko hajui hilo utakamuliwa mpaka utumbo.Siku hizi vitoto navyo vinataka mkubwa anayejua kuhudumia mzee,tafuta location nzuri na ramani ya kumpata aliyehitimu shule na hajapata kazi wala biashara miaka 23-26 hawa wako serious sana
Utaugua tezi dume mkuu,Mwaka huu unapita sijashiriki hilo tendo kabisa kwa hilo najivunia mno 😁
Hakika kwa hilo nimefanikiwa mkuu.Haaaa unajua kuuweza na kuutiisha mwili mkuu,hongera
Yaani mke anakuletea jeuri?Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.
Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Mimi nimeshiriki mara moja tu mwezi June, umenizidi padogo tuMwaka huu unapita sijashiriki hilo tendo kabisa kwa hilo najivunia mno 😁