Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure hanna sio utani kabisa😁Aaaah weeeee
Shindikanaaaaaaa!Mwaka huu unapita sijashiriki hilo tendo kabisa kwa hilo najivunia mno 😁
Shindikana mimi ni zaidi ya mlokole 😁😁😁Shindikanaaaaaaa!
Anhaaa kama mimi tu. Kwahiyo tukutane wapi tujipongeze kwa kumaliza mwaka bila bila?Sure hanna sio utani kabisa😁
Tukutane nusu ya mwaka ujao🤣🤣🤣Anhaaa kama mimi tu. Kwahiyo tukutane wapi tujipongeze kwa kumaliza mwaka bila bila?
Siku hizi vitoto navyo vinataka mkubwa anayejua kuhudumia mzee,tafuta location nzuri na ramani ya kumpata aliyehitimu shule na hajapata kazi wala biashara miaka 23-26 hawa wako serious sanaSijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.
Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Mbona wanasema anayefanya sana ndio yuko hatarini kupata kwa sababu tezi hushughulika sana kuzalisha maji ya uzaziTezi dume hakuachi salama
Wewe endelea kutafuta size yako na yeye anatafuta walio wadogo zaidi yako, kwahiyo mkikutana kila mmoja stress zilisha mtoka huko,Sijui ni umri umenitupa Nina 37 , changamoto yangu ni ndoa yangu mke wangu jeuri sana , Sasa Huwa natafuta faraja nje ya ndoa kinachoniuma ni kuwa Kila mwanamke ninayekutana naye ni single mother.
Nasumbuka sana nikitaka kufuata vitoto vya chuo na vidogo naona kabisa ntapoteana na najidharilisha vitoto havina akili na heshima , wenye umri wangu na zaidi Huwa mnafanyaje na hii changamoto ya kukutana na used tupu
Sawa tuendelee basi kutokushiriki 😂😂😂Tukutane nusu ya mwaka ujao🤣🤣🤣