Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Jf nisiye na gari ni Mimi Tu labda....
njoo uendeshe Tuareg huku Yaeda........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf nisiye na gari ni Mimi Tu labda....
Hili halina uhusiano na
Afrika tunao wasomi wengi wenye mavyeti na uzoefu hila wakishaingia kwenye siasa maamuzi yao ubadilika sana.
viongozi, ni suala la weledi. Walio amua kwenda pale bondeni ni professionals na ndio maana nikasema vyeti.
Bado, pamoja na taarifa za hali ya hewa na uzoefu wao wa mafuriko pale, hakuna mtu aliyebeba jukumu la kuzitoa zile gari na kupeleka mahali salama. Gari /Mabasi yamefunikwa na maji, hizo engine zake zitakuwaje !?
Ac na feni zina kazi gani?Aaah kivipi yani.?
Kwa heshima na taadhima nawasalimu ndugu zetu wenye vitz, ist, passo, na jamii yao yote maana dah najua mnavyoteseka na mitaro plus utelezi kwenye vilima. Hahahahahaha
Wale wa Toyota Kluger hasa kama nyeusi ama blue metallic hv shikamooni nawasalimu hahahahahaha. Hebu punga mkono tusalimiane japo kidogo huku tunaendelea na mishe zetu. Ooooohhhh yeaaaaahhhhh !
"No offence"
Kumbe na rangi inasaidia usipate taabu na mvua mkuuKwa heshima na taadhima nawasalimu ndugu zetu wenye vitz, ist, passo, na jamii yao yote maana dah najua mnavyoteseka na mitaro plus utelezi kwenye vilima. Hahahahahaha
Wale wa Toyota Kluger hasa kama nyeusi ama blue metallic hv shikamooni nawasalimu hahahahahaha. Hebu punga mkono tusalimiane japo kidogo huku tunaendelea na mishe zetu. Ooooohhhh yeaaaaahhhhh !
"No offence"
Kwa heshima na taadhima nawasalimu ndugu zetu wenye vitz, ist, passo, na jamii yao yote maana dah najua mnavyoteseka na mitaro plus utelezi kwenye vilima. Hahahahahaha
Wale wa Toyota Kluger hasa kama nyeusi ama blue metallic hv shikamooni nawasalimu hahahahahaha. Hebu punga mkono tusalimiane japo kidogo huku tunaendelea na mishe zetu. Ooooohhhh yeaaaaahhhhh !
"No offence"
Sasa si ndio mpaka uwe na uwezo huo.Ac na feni zina kazi gani?
Kwenye avatar ni wewe?
Mambo ya weseNikipewa Passo na Kluger ya bure, nachagua Passo.