Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
Hili halina uhusiano na viongozi, ni suala la weledi. Walio amua kwenda pale bondeni ni professionals na ndio maana nikasema vyeti.Na hapo ni kodi yako inateketea wao wapo kwenye MaVx sasa hivi.Bara la Africa hususani kusini mwa jangwala sahara wananchi wake wanatabika sana hili hali viongozi wao wengi wakishi maisha ya peponi lakini cha kushangaza wanawakumbatia viongozi hao hao miaka nenda rudi.
Bado, pamoja na taarifa za hali ya hewa na uzoefu wao wa mafuriko pale, hakuna mtu aliyebeba jukumu la kuzitoa zile gari na kupeleka mahali salama. Gari /Mabasi yamefunikwa na maji, hizo engine zake zitakuwaje !?