kibhojela
JF-Expert Member
- Mar 7, 2018
- 1,004
- 1,096
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mayai ya kuku au makende yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mayai ya kuku au makende yako
Joto kama kunaokwa mikate.Kiangazi kuna shida gani?
Huko mjini mnachafua hali ya hewa. Yaleteni huku shamba tupigie kaziNa sisi wenye Land Rover !
Joto upende wewe tu.Joto kama kunaokwa mikate.
Aaah kivipi yani.?Joto upende wewe tu.
Hahahaha! Suzuki ni gari ya kazi, iwe Jimny au EscudoNimejua kwanini Vile vi Suzuki Jimmy vinauzwa bei mbaya.
Mkuu Escudo ni gari. Hasa upate Manual transmissionKwa mvua hizi mwenye 4WD sanasana wenye Escudo ndo wababe...vilima kama vya Kimara na Wazo wanapeta tu huyo wa Klugger kilima kama cha pale Wazo Dispensary hapiti!
Hahahaha! Suzuki ni gari ya kazi, iwe Jimny au Escudo
Pia alete mrejesho [emoji1]haya baba kapite hapo Jangwani
![]()
Mkuu fafanua ni nissan ipi unazungumzia?! Maana kuna Nissan March iko kama VitsHALI hii ya mvua ni hali NGUMU kwa magari ,HII inaweza kustahimiliwa na gari aina ya NISSAN ,mjapan hakufanya mchezo ktk NISSAN
Mkuu nilishakua nayo Jimny Wide. Ni gari imara sana, Inakula mafuta vizuri na pia Spea zake zinapatikana kiurahisi tuVile vi Jimmy 4x4D mkuu, kisha haviumizi sana ikija kwa mwarabu.
Ina sekunde 0Dk 0 ina sekunde ngapi?
Sure zile ni gari kwelikweli hususani msimu kama huuMkuu Escudo ni gari. Hasa upate Manual transmission
Mkuu hapo umenigusa. Hizi gari nazipa heshima ya kipekee. Hazijawahi kuniangusha kwenye rough roadSure zile ni gari kwelikweli hususani msimu kama huuView attachment 746575
Khaaaaa sasa hiki kisuzuki wame kiwekea turbo si kukionea tu ?
Hahahaa duh!Pungeni vifua
Lol!Huko mjini mnachafua hali ya hewa. Yaleteni huku shamba tupigie kazi