DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.
Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).
[emoji1093]Al Ahly - πππππ
[emoji1173]Wydad AC - πππππ
[emoji1249]Esperance - πππππ
[emoji1173]Raja AC - πππππ
[emoji1221]Mamelodi Sundowns - πππππ
[emoji1026]CR Belouizdad - πππππ
[emoji1241]Simba - πππππ
[emoji1029]Petro Atletico [emoji777]
[emoji1026]Js Kabyle - πππππ
[emoji1093]Pyramids - βπΈπ½ββ
Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi
Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.
Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)
Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria
Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).
[emoji1093]Al Ahly - πππππ
[emoji1173]Wydad AC - πππππ
[emoji1249]Esperance - πππππ
[emoji1173]Raja AC - πππππ
[emoji1221]Mamelodi Sundowns - πππππ
[emoji1026]CR Belouizdad - πππππ
[emoji1241]Simba - πππππ
[emoji1029]Petro Atletico [emoji777]
[emoji1026]Js Kabyle - πππππ
[emoji1093]Pyramids - βπΈπ½ββ
Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi
Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.
Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)
Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria