Na hii ndio tofauti ya klabu bingwa na kombe la shirikisho

Na hii ndio tofauti ya klabu bingwa na kombe la shirikisho

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.

Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).

[emoji1093]Al Ahly - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
[emoji1173]Wydad AC - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
[emoji1249]Esperance - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
[emoji1173]Raja AC - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
[emoji1221]Mamelodi Sundowns - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
[emoji1026]CR Belouizdad - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
[emoji1241]Simba - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
[emoji1029]Petro Atletico [emoji777]
[emoji1026]Js Kabyle - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
[emoji1093]Pyramids - ℂ𝔸𝔽ℂℂ

Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi

Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.

Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)

Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria
 
Sidhani kama uto watakuelewa
FssaAI3XwAIAt53.jpeg
 
Mara Byuti byuti, mara Aisha ma UTI daah
Yaani ni vurugu tu, mara wacheze uchi mara walishane keki ni uzumbukuku mtindo mmoja.....

Kweli unaingia ktk mashindano ya kiume CL theni unabana pua BYUTI BYUTI dah......

Utopolo ni sawa na afande rama wa kule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
 
UNAUMIA UKIWA WAPI MKUU,??????πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
 
[emoji23][emoji23]Makolo yamekutanaView attachment 2576470
-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.

Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).

πŸ‡ͺπŸ‡¬Al Ahly - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡²πŸ‡¦Wydad AC - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡ΉπŸ‡³Esperance - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡²πŸ‡¦Raja AC - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡ΏπŸ‡¦Mamelodi Sundowns - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡©πŸ‡ΏCR Belouizdad - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡ΉπŸ‡ΏSimba - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡¦πŸ‡΄Petro Atletico ❌
πŸ‡©πŸ‡ΏJs Kabyle - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡ͺπŸ‡¬Pyramids - ℂ𝔸𝔽ℂℂ

Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi

Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.

Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)

Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria
 
-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.

Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).

πŸ‡ͺπŸ‡¬Al Ahly - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡²πŸ‡¦Wydad AC - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡ΉπŸ‡³Esperance - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡²πŸ‡¦Raja AC - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡ΏπŸ‡¦Mamelodi Sundowns - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡©πŸ‡ΏCR Belouizdad - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡ΉπŸ‡ΏSimba - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡¦πŸ‡΄Petro Atletico ❌
πŸ‡©πŸ‡ΏJs Kabyle - π—–π—”π—™π—–π—Ÿ
πŸ‡ͺπŸ‡¬Pyramids - ℂ𝔸𝔽ℂℂ

Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi

Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.

Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)

Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria
aezi elewa,kule wenye akili na kuelewa ni wawili tu.
 
Back
Top Bottom