Na hizi ndio sadaka zetu za siku ya leo..!!!

Na hizi ndio sadaka zetu za siku ya leo..!!!

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
INTRODUCTION:
Ndugu moderators naomba uzi huu usipelekwe kwenye Forum ya Dini.
Natumaini nimeeleweka.

SCENARIO:
Mistari ya Machungaji/Padre kwenye ibada/misa moja ...

1. Tutaanza na sadaka ya ujenzi wa kanisa .....

2. Jamani kanisa linampango wa kutembelea wajane na mayatima, tafadhali tutoa chochote kwa ajli ya hilo.
Kwani sadaka ya Dikonia si ipo?

3. Na huu ndio muda wa kutoa Fungu la kumi

4. Sadaka ya ahadi na jengo kwenye bahasha tafadhali.

5. Hiki ni kipindi cha katikati ya mwaka, malimbuko ni muhimu.

6. Sadaka ya mchungaji kwa ajili ya wageni kutoka nje.

7. Na sasa ni muda wa sadaka ya Shukrani ya pekee

8. Sadaka ya mavuno tafadhali

9. Mchungaji anahitaji kununua gari, tumchangie tafadhali

10 ..... Utaendelea mwenyewe mwana JF.

CONCLUSION.
Wakati huo nakua 1994 na kuendelea nikiwa katika usharika wangu mkubwa kabisa pale Dar, tulikuwa tunatoa sadaka 3 kwa kunyanyuka mara mbili.

1. Sadaka ya kupeleka mkononi, hii inategemea na siku

2. Sadaka ya ahadi na jengo, hizi huwekwa kwenye bahasha.

*Sadaka ya ahadi = Mwanzo wa mwaka msharika ana muahidi Mungu atamtolea kiasi fulani mwaka mzima.

*Sadaka ya jengo = kwa ajili ya ujenzi wa kanisa.

Ila sasa hivi mweeeh..!!!

Anyway, kama ishu ni pesa mchungaji na wewe si ufanye kazi.
Yaani, tafuta ajira fanya, au lima kama sisi..!!!!

Anyway mimi ni Mlutheri niliye batizwa, Kipaimara na kupata mafundisho kamili ya Sunday school kutoka Kwenye Usharika wangu ndani ya DMP.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
SADAKA NI WEWE MOJA KWA MOJA KUMSAIDIA MUHITAJI SIO UNAMPA MTU SADAKA ILI NDIO AMPE HUYO MUHITAJI

YESU KRISTO ANATUFUNDISHA KUTOA SADAKA KWA MIKONO YETU.

UNATOA SADAKA KANISANI MILLION MOJA IENDE KWA YATIMA AU IMFIKIE MASIKINI JE UNADHANI ITAFIKA MILLION MOJA ILIVYO KAMA ULIVYOTAKA WEWE

JIFUNZE KUPELEKA SADAKA WEWE KAMA WEWE NA UKUTANE NA MUHITAJI.
 
Toa Ndugu, Toa Ndugu Ulichonacho

Kanisa Litajengwa Na Watu Wenye Moyo
 
INTRODUCTION:
Ndugu moderators naomba uzi huu usipelekwe kwenye Forum ya Dini.
Natumaini nimeeleweka.

SCENARIO:
Mistari ya Machungaji/Padre kwenye ibada/misa moja ...

1. Tutaanza na sadaka ya ujenzi wa kanisa .....

2. Jamani kanisa linampango wa kutembelea wajane na mayatima, tafadhali tutoa chochote kwa ajli ya hilo.
Kwani sadaka ya Dikonia si ipo?

3. Na huu ndio muda wa kutoa Fungu la kumi

4. Sadaka ya ahadi na jengo kwenye bahasha tafadhali.

5. Hiki ni kipindi cha katikati ya mwaka, malimbuko ni muhimu.

6. Sadaka ya mchungaji kwa ajili ya wageni kutoka nje.

7. Na sasa ni muda wa sadaka ya Shukrani ya pekee

8. Sadaka ya mavuno tafadhali

9. Mchungaji anahitaji kununua gari, tumchangie tafadhali

10 ..... Utaendelea mwenyewe mwana JF.

CONCLUSION.
Wakati huo nakua 1994 na kuendelea nikiwa katika usharika wangu mkubwa kabisa pale Dar, tulikuwa tunatoa sadaka 3 kwa kunyanyuka mara mbili.

1. Sadaka ya kupeleka mkononi, hii inategemea na siku

2. Sadaka ya ahadi na jengo, hizi huwekwa kwenye bahasha.

*Sadaka ya ahadi = Mwanzo wa mwaka msharika ana muahidi Mungu atamtolea kiasi fulani mwaka mzima.

*Sadaka ya jengo = kwa ajili ya ujenzi wa kanisa.

Ila sasa hivi mweeeh..!!!

Anyway, kama ishu ni pesa mchungaji na wewe si ufanye kazi.
Yaani, tafuta ajira fanya, au lima kama sisi..!!!!

Anyway mimi ni Mlutheri niliye batizwa, Kipaimara na kupata mafundisho kamili ya Sunday school kutoka Kwenye Usharika wangu ndani ya DMP.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
SADAKA unamtolea Mungu sio mwanadamu....ukienda kwa "angle" hiyo ya Imani basi hutapata kigugumizi cha kutoa sadaka hata kama mchungaji wako akitaja aina kumi za sadaka.
Mbona kwenye harusi unachangia tu kiulaini ila huku kwenye "harusi" ya Yesu unaleta kinyongo😀😀.

MATHAYO 6:20-21Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba. Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
 
Mabadiliko yapo au huoni kuwa walutheri nao miaka hii wanasali dizain ile ya walokole? Yaani mnaimba wimbo wa kuabudu halafu kila mmoja a asali kivyake kwa sauti aliyojaliwa. Kwenye sadaka nako lazima kubadilika maana wamisionari wameacha kufadhili makanisa siku hizi
 
SADAKA NI WEWE MOJA KWA MOJA KUMSAIDIA MUHITAJI SIO UNAMPA MTU SADAKA ILI NDIO AMPE HUYO MUHITAJI

YESU KRISTO ANATUFUNDISHA KUTOA SADAKA KWA MIKONO YETU.

UNATOA SADAKA KANISANI MILLION MOJA IENDE KWA YATIMA AU IMFIKIE MASIKINI JE UNADHANI ITAFIKA MILLION MOJA ILIVYO KAMA ULIVYOTAKA WEWE

JIFUNZE KUPELEKA SADAKA WEWE KAMA WEWE NA UKUTANE NA MUHITAJI.
Shida ni wanafiki sana, wanataka waonwe na watu ndio maana watoaji hela nyingi huwa wanatangazwa
 
Utasikia Sadaka yoyotee Ile uliyonayo na iliobaki 😁😁 ila haya mambo nyie alafu hauwezi sikia mapato na matumizi wiki ijayo
 
Mabadiliko yapo au huoni kuwa walutheri nao miaka hii wanasali dizain ile ya walokole? Yaani mnaimba wimbo wa kuabudu halafu kila mmoja a asali kivyake kwa sauti aliyojaliwa. Kwenye sadaka nako lazima kubadilika maana wamisionari wameacha kufadhili makanisa siku hizi
Martin Luther angepewa nafasi ya kurudi angelikataa kanisa lake, limeacha misingi yake
 
Alafu ukipita mtaani unakutana na nyumba kalikali unaambiwa hii ni ya Padri au mchungaji flani. Mtu kama Padre 95% ya muda wake yupo Kanisani hadi kuishi ni parokiani ila ana ma investments ya mamilioni we huogopi?
 
INTRODUCTION:
Ndugu moderators naomba uzi huu usipelekwe kwenye Forum ya Dini.
Natumaini nimeeleweka.

SCENARIO:
Mistari ya Machungaji/Padre kwenye ibada/misa moja ...

1. Tutaanza na sadaka ya ujenzi wa kanisa .....

2. Jamani kanisa linampango wa kutembelea wajane na mayatima, tafadhali tutoa chochote kwa ajli ya hilo.
Kwani sadaka ya Dikonia si ipo?

3. Na huu ndio muda wa kutoa Fungu la kumi

4. Sadaka ya ahadi na jengo kwenye bahasha tafadhali.

5. Hiki ni kipindi cha katikati ya mwaka, malimbuko ni muhimu.

6. Sadaka ya mchungaji kwa ajili ya wageni kutoka nje.

7. Na sasa ni muda wa sadaka ya Shukrani ya pekee

8. Sadaka ya mavuno tafadhali

9. Mchungaji anahitaji kununua gari, tumchangie tafadhali

10 ..... Utaendelea mwenyewe mwana JF.

CONCLUSION.
Wakati huo nakua 1994 na kuendelea nikiwa katika usharika wangu mkubwa kabisa pale Dar, tulikuwa tunatoa sadaka 3 kwa kunyanyuka mara mbili.

1. Sadaka ya kupeleka mkononi, hii inategemea na siku

2. Sadaka ya ahadi na jengo, hizi huwekwa kwenye bahasha.

*Sadaka ya ahadi = Mwanzo wa mwaka msharika ana muahidi Mungu atamtolea kiasi fulani mwaka mzima.

*Sadaka ya jengo = kwa ajili ya ujenzi wa kanisa.

Ila sasa hivi mweeeh..!!!

Anyway, kama ishu ni pesa mchungaji na wewe si ufanye kazi.
Yaani, tafuta ajira fanya, au lima kama sisi..!!!!

Anyway mimi ni Mlutheri niliye batizwa, Kipaimara na kupata mafundisho kamili ya Sunday school kutoka Kwenye Usharika wangu ndani ya DMP.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Wapo wenye moyo wa kutoa wanatowa wewe kama hutowi nyamaza kimya au ukatoe fedha zako kwa waganga au hama imani nenda kwa wale wazee wa jazba na hasira kule wanatowa sadaka 200.
 
Mungu ndie hutumia hizo sadaka au hao wanadamu.?
Hamwezi kumtumikia Mungu na mali” Mathayo 6:24.
Soma Matendo ya Mitume 5:1-16 utaona kisa cha Anania na Safira....MUNGU ameweka utaratibu wa kuitumia Sadaka kama watumishi wakienda kinyume chake kuna adhabu yake.Wewe Mkristo mwenye Imani kazi yako ni kutoa sadaka kwa moyo mkunjufu wala huna ya kujua wataitumiaje au kuifanyia nini kwasababu unajiongezea hazina mbinguni na sio duniani.👇👇
Matendo 5:1-16
Matendo 5:1-16 BHND
BHN
SUV
Neno
SRUV
Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile. Lakini, mkewe akiwa anajua, Anania akajiwekea sehemu ya fedha alizopata na ile sehemu nyingine akawakabidhi mitume. Basi, Petro akamwuliza, “Anania, mbona Shetani ameuingia moyo wako na kukufanya umdanganye Roho Mtakatifu kwa kujiwekea sehemu ya fedha ulizopata kutokana na lile shamba? Kabla ya kuliuza lilikuwa mali yako, na baada ya kuliuza, bado hizo fedha zilikuwa zako uzitumie utakavyo. Kwa nini basi, uliamua moyoni mwako kufanya jambo la namna hii? Hukumdanganya mtu; umemdanganya Mungu!” Anania aliposikia hayo, akaanguka chini, akafa. Watu wote waliosikia habari za tukio hilo waliogopa sana. Vijana wakafika, wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika. Baada ya muda wa saa tatu hivi, mke wake, bila kufahamu mambo yaliyotukia, akaingia mle ndani. Petro akamwambia, “Niambie! Je, kiasi hiki cha fedha ndicho mlichopata kwa kuuza lile shamba?” Yeye akamjibu, “Naam, ni kiasi hicho.” Naye Petro akamwambia, “Mbona mmekula njama kumjaribu Roho wa Bwana? Sikiliza! Wale watu waliokwenda kumzika mume wako, sasa wako mlangoni na watakuchukua wewe pia.” Mara Safira akaanguka mbele ya miguu ya Petro, akafa. Wale vijana walipoingia, walimkuta amekwisha kufa; hivyo wakamtoa nje, wakamzika karibu na mume wake. Hofu kubwa ikalikumba kanisa lote na wote waliosikia habari za tukio hilo. Mitume walifanya miujiza na maajabu mengi kati ya watu. Waumini walikuwa wakikutana pamoja katika ukumbi wa Solomoni. Mtu yeyote mwingine ambaye hakuwa mwaamini hakuthubutu kujiunga nao.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Back
Top Bottom