Na hizi ndio sadaka zetu za siku ya leo..!!!

Kutoa ni moyo wala si malalamiko we ukiona kutoa huwezi na hutaki unapiga kimyaaa unaacha watowaji watoe na wabarikiwe.
Baraka zako hazina uhusiano wowote na michango unayotoa. Mmezidi kuwafanya wenzenu mazezeta.
 
Hivi kumbe kuna forum ya dini? Watenda dhambi hatulioni aisee zaidi ya kuona kula kwa masikhara
 
Kutoa ni moyo wala si malalamiko we ukiona kutoa huwezi na hutaki unapiga kimyaaa unaacha watowaji watoe na wabarikiwe.
Mnatumia matatizo ya watu(umasikini, magonjwa n.k) kujipatia pesa...hiyo sio sawa.

Hata Mungu mnayejinasibu kumtumikia amekataza hiyo hujuma mnayowafanyia watu.,
 
Mbinguni ndio hapo kwa Wachungaji?
 
Hii tabia ya Wakristo kulalamikia Moto ya Sadaka Siyo nzuri.Ndani ya familia kuna Sadaka tunatoa,Kwa Majirani wahitaji tunatoa,walio kwenye vyama wanatoa,kwenye timu wanatoa,kwenye taaluma tunatoa,kwenye msiba na wagonjwa tunatoa.Tena usipoulizwa unamind.Kwa nini huko Kote unatoa bila kinyonge,alafu kanisani ulalamike?Mtu 1 aliacha Kanisa,akaenda Kwa Mchungaji kumdai Sadaka zake zote! Cheki Jibu la Mchungaji sasa:Tupige magoti,Mwambie Mungu unataka sadaka zako zote zirudi,Mwambie Mungu hajakupa Uhai!
Jamaa alikuwa mdogo kama piriton
 
O9oحححو٩ممح٩٩٩كحح٩
كك.حلددحكح.حث.ك. ظ٩كح
 
٠.9o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…