Na Mwanaume mwenye Mademu Wengi JF ni...

Na Mwanaume mwenye Mademu Wengi JF ni...

Ah wapi!

Mnanisingizia tu.

Nikikwambia unitajie hao mademu wangu si ajabu ukanitajia FaizaFoxy, Lara1, Sekretari wa TMT, na vinuka mokojo wengine wasionipenda!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wamekutaja wenyewe...nini siri ya hawa watu kujileta aisee...kuna watu mnafaidi sana
 
Back
Top Bottom