'Na pesa yetu' ATCL already making massive losses... CAG report

'Na pesa yetu' ATCL already making massive losses... CAG report

Hahahahaha, mumeanza kuweweseka, poleni sana, mtaendelea kuweweseka sana, Tanzania inasonga mbele. Repoti ya CAG imesema hivi;

1) Kuanzia mwaka 2005 hadi 2017 ATCL ilipata hasara ya TSh 38B, hiki ni kipindi ambacho ATCL ilikua na ndege mbili chakavu, moja ilikuwa sio ya ATCL.

2)Katika kipindi cha kuanzia 2017 hadi 2018, ambacho ndio kipindi cha ukaguzi, sasa hivi ATCL hasara iliyobaki ni Tshs 16B, hii maana yake ni kwamba 48% ya deni limelipwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wa hizo ndege mpya kuanza kufanya biashara.

3) Kwa hesabu za haraka, ndani ya kipindi cha mwaka mmoja na nusu, ndege za ATCL zimetengeneza zaidi ya Tshs.12B, ambazo zimelipa deni la nyuma, deni lililobaki ni 16B.

Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo una maanisha CAG amedanganya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna rangi ya ndege ya Tsh5 million. Kupaka ndege rangi ni zaidi ya $100,000 usd.
Rais wenu muongo alimdanganya ili muendelee kumpa sifa.

Kama anavyo mdanganya mambo hayo mengine yote. Vile tu alimdanganya kwamba ATCL inaleta faida.

Watu wanojifanya wasomi kama wewe na kumbe umekataa kutumia akili yako mwenyewe. Tanzania mko matatani.
Wewe hujui lolote kuhusu mambo ya accounting unapiga Kelele tu hapa
Angalia hapa chini

2006........... BF $500M

January 2007......BD $500M
Dec. 2007........BF $300M
Hii maana yake ndani ya kipindi cha biashara cha miezi 12 toka January hadi Dec.2007, shirika limepata hasara ya $200M.

January 2016....BD ($-38B)
Dec. 2016.....BF($-16B)
Hii maana yake, ndani ya kipindi cha miezi 12 , shirika limetengeneza revenue ya $12B, ambavyo imetumika kupunguza hasara tuliyoanza nayo January 2016($-38), hadi kufikia hasara iliyobaki mwishoni mwa mwaka amvayo ni $-16B.

Hii revenue iliyopatikana ya $12B, huwezi kuiita faida kwasababu huwezi kuitumia kama capital, kwasababu sio Mali ya shirika, lazima shirika lilipe madeni yote ndio lianze kutengeneza faida.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo una maanisha CAG amedanganya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ninayosema ndicho CAG alichokisema, tofauti CAG anatumia lugha ya kiuhasibu, wakati wengi WETU tunatumia lugha ya kawaida ndio sababu kunakutokuelewana, sawa sawa na mtafaruku wa lugha kati ya Ndugai na CAG. CAG anatumia lugha ya kiuhasibu wakati ndugai anatumia lugha ya kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeangalia. Flight mbili za leo 6pm na 7pm ziko na viti.
Flight za kesho zimejaa viti
Flight za kesho kutwa zimejaa viti.
Hakuna flight haina nafasi. Na kama nilivyosoma huko Jukwaa la siasa ni kweli, wanaofanya bookings majority ni wanaCCM au wakuu wa serikali, ambao hawalipi nauli yote.

Hii ndio screenshot ya leo. Kenya Airways nina uhakika hauwezi pata kiti cha last minute kama unavyoona ATCL.
View attachment 1068723
Ndio kawaida ya ATCL(Any Time Cancellation Limited) ndege zinasafiri na abiria wachache. Alafu muda wowote ule abiria wanaweza wakashushwa ghafla ili ndege liende likapigwe rangi. [emoji1]
 
Obsession with Tz mpaka una download majedwali ya CAG wao[emoji38][emoji38]
Haya mzee...Hiyo inaitwa book value loss..Ukitaka kuona profit angalia Ndege ngapi Tz wamenunua kutumia pesa zao[emoji23][emoji23]
Mkuu mm mbngo mwnzio,kwa hz data nieleweshe how are we running on profit?

Sent using Brain
 
Obsession with Tz mpaka una download majedwali ya CAG wao😆😆
Haya mzee...Hiyo inaitwa book value loss..Ukitaka kuona profit angalia Ndege ngapi Tz wamenunua kutumia pesa zao😂😂
Boss ....Just stick to economics.... Accounting/finance matters make you look so illetrate ..... You are so out of your depth....ondokea tu!!!
 
Kumbe kwa jirani si kuzuri venye tulifikiria.
IMG_20190411_145610.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hujui lolote kuhusu mambo ya accounting unapiga Kelele tu hapa
Angalia hapa chini

2006........... BF $500M

January 2007......BD $500M
Dec. 2007........BF $300M
Hii maana yake ndani ya kipindi cha biashara cha miezi 12 toka January hadi Dec.2007, shirika limepata hasara ya $200M.

January 2016....BD ($-38B)
Dec. 2016.....BF($-16B)
Hii maana yake, ndani ya kipindi cha miezi 12 , shirika limetengeneza revenue ya $12B, ambavyo imetumika kupunguza hasara tuliyoanza nayo January 2016($-38), hadi kufikia hasara iliyobaki mwishoni mwa mwaka amvayo ni $-16B.

Hii revenue iliyopatikana ya $12B, huwezi kuiita faida kwasababu huwezi kuitumia kama capital, kwasababu sio Mali ya shirika, lazima shirika lilipe madeni yote ndio lianze kutengeneza faida.


Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂 Revenue ya $12B.. Unaiyona ATCL ni Apple?

Ata upishi wa data unahitaji ujanja.
Hizi ndizo hasara zenu. Na sio ATCL tu, kampuni zote za serikali yenu ni hasara tupu.

1068973
 
I always told idiots like joto la jiwe here, no airline can run on the taxpayer's money. An airline is supposed to run on its own revenue and any money from the government should be treated as a loan that should be repaid by the airline. Meanwhile the clueless bongolalas like eliakeem REDEEMER. Geza Ulole et al were all celebrating eti tunazinunua wenyewe na pesa yetu. What load of crap.
 
Revenue ya 12 billion usd wakati gdp yenu ni 50 billion usd.?...tourism inawaletea usd 1 billion.. Buda ulirogwa ama
Wewe hujui lolote kuhusu mambo ya accounting unapiga Kelele tu hapa
Angalia hapa chini

2006........... BF $500M

January 2007......BD $500M
Dec. 2007........BF $300M
Hii maana yake ndani ya kipindi cha biashara cha miezi 12 toka January hadi Dec.2007, shirika limepata hasara ya $200M.

January 2016....BD ($-38B)
Dec. 2016.....BF($-16B)
Hii maana yake, ndani ya kipindi cha miezi 12 , shirika limetengeneza revenue ya $12B, ambavyo imetumika kupunguza hasara tuliyoanza nayo January 2016($-38), hadi kufikia hasara iliyobaki mwishoni mwa mwaka amvayo ni $-16B.

Hii revenue iliyopatikana ya $12B, huwezi kuiita faida kwasababu huwezi kuitumia kama capital, kwasababu sio Mali ya shirika, lazima shirika lilipe madeni yote ndio lianze kutengeneza faida.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I always told idiots like joto la jiwe here, no airline can run on the taxpayer's money. An airline is supposed to run on its own revenue and any money from the government should be treated as a loan that should be repaid by the airline. Meanwhile the clueless bongolalas like eliakeem REDEEMER. Geza Ulole et al were all celebrating eti tunazinunua wenyewe na pesa yetu. What load of crap.
What about ET?, the truth is Kenyans will continue doing badly in every sector except marathon runners because of you behaviour of stupidity, a stup person thinks he knows everything.

The reality is ATCL is making "profit", and will continue doing so, after two and half years of paying back the loses it will start counting the profit.

It is only stupid people like you Kenyans who have failed in every projects of your country, now you think every country is a failed state like Kenya. Tanzania has got smart president who can never entertain failures and loses like Uhuru Kenyatta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What about ET?, the truth is Kenyans will continue doing badly in every sector except marathon runners because of you behaviour of stupidity, a stup person thinks he knows everything.
Ethiopia doesn't run on the taxpayers money idiot. And you are not Ethiopia.

How is Kenya doing badly when we are doubling your economy? You are the ones who are stupid.

The reality is ATCL is making "profit", and will continue doing so, after two and half years of paying back the loses it will start counting the profit.

Thank you for confirming it's "profits" and not profits.

It is only stupid people like you Kenyans who have failed in every projects of your country, now you think every country is a failed state like Kenya. Tanzania has got smart president who can never entertain failures and loses like Uhuru Kenyatta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Let's not even go to other failed projects in Tanzania. Let's just focus on your ATCL that after using the taxpayer's money to buy new planes, it's making loses and planning to sell the planes to Kenya Aiways at a throwaway price.
 
Profit gani mmemake na last year mlikiwa na loss ya 16 billion?
What about ET?, the truth is Kenyans will continue doing badly in every sector except marathon runners because of you behaviour of stupidity, a stup person thinks he knows everything.

The reality is ATCL is making "profit", and will continue doing so, after two and half years of paying back the loses it will start counting the profit.

It is only stupid people like you Kenyans who have failed in every projects of your country, now you think every country is a failed state like Kenya. Tanzania has got smart president who can never entertain failures and loses like Uhuru Kenyatta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania got a lying President who continuously lies for its citizen. Mnadanganywa ati uchumi wenyu unakuwa kwa asilimia 7 kumbe ni 4%, mnadanganywa ATLC imetengeneza profit kumbe iko na loss kuliko GDP yenyu, mnadanganywa ninyi ni nchi ya viwanda kumbe hata pesa za kuanzisha hivo viwanda hamna. Mnazindua projects hewa, mnanunua sare za polisi hewa. Pesa zinaenda mfukoni wa Mr Kiparangoto na nyinyi mmezubaa tu hapo Tandale, loliondo na Mbagala mnamwabudu dikteta.
What about ET?, the truth is Kenyans will continue doing badly in every sector except marathon runners because of you behaviour of stupidity, a stup person thinks he knows everything.

The reality is ATCL is making "profit", and will continue doing so, after two and half years of paying back the loses it will start counting the profit.

It is only stupid people like you Kenyans who have failed in every projects of your country, now you think every country is a failed state like Kenya. Tanzania has got smart president who can never entertain failures and loses like Uhuru Kenyatta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzanians are demanding answers from their Supreme leader, who has been lying to them that ATCL is doing well.

According to the so called CAG report, it has been revealed that ATCL has in fact been hemorrhaging money, with no signs of recovery.

Kumewaka moto pale Jukwaa la Siasa.

It does not make sense. They say that they bought the planes with their own cash. Meaning the largest expense most airlines have to contend with, i.e. loans and lease repayments, is not there.
Where is the money going?

Ndege tatu na wameshindwa. Kama wangekuwa na ndege 40 kama KQ, ingekuwa disaster.
Hiyo ripoti mimi pia nimeisoma lakini nadhani uelewa wetu ni tofauti.
 
What about ET?, the truth is Kenyans will continue doing badly in every sector except marathon runners because of you behaviour of stupidity, a stup person thinks he knows everything.

The reality is ATCL is making "profit", and will continue doing so, after two and half years of paying back the loses it will start counting the profit.

It is only stupid people like you Kenyans who have failed in every projects of your country, now you think every country is a failed state like Kenya. Tanzania has got smart president who can never entertain failures and loses like Uhuru Kenyatta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhuru kenyatta: Ladies and gentlemen, what do you want me to do.....[emoji57]

Even their prezo has no idea what the hell is wrong with Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili wenye akili wamelizungumza sana lakini kwa sababu ya one man show yanatufika haya
 
Back
Top Bottom