Na tambi nazo zimepanda bei, hii nchi sijui tunaenda wapi

Na tambi nazo zimepanda bei, hii nchi sijui tunaenda wapi

Huna akili , endelea kuimba mapambio ya chama cha majambazi , bloody idiot
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
 

Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40.

Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
Kuna mwingine kasema mkate aina supa lofu nao wamepunguza siles
 

Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40.

Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
Silesi za mkate zilikuwa 14 sasa ziko 12 na wamepunguza chumvi.
 
mkuu acha nifanye hili zoezi kwenye sukari nitaleta mrejesho,kabla ya mwaka kuanza kilo moja ilikuwa na punje za sukari 23,345,200,196 kwa sukari nyembamba ya kawaida,na ile brown sugar ilikuwa ni 2,347,566,322 kwa kilo moja.
IMG-20220704-WA0024.jpg


nimegundua pia kuna hujma katika matipa ya kubeba vifusi vya mchanga,embu wengine anzeni huko ninakuja pia.
 
Bei ilikuwa 1400 now ni 2000 ‘ bei ya jana…
 

Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40.

Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
Katengeneze zako Ili ushushe Bei..We jamaa tambi ukikula mara ya mwisho lini maana toka mwaka Jana zilishapanda.
 
Back
Top Bottom