Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KweliTambi=ngano
Mzani nao unachakachuliwaa!Sasa si ungepima tu uzito kwa mzani? Hiyo shida na muda wa kuhesabu tambi kwa tambi yote ya nini? Chukua mzani pima na lingalisha mchezo umeisha!
Kuna mwingine kasema mkate aina supa lofu nao wamepunguza siles
Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40.
Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
Mzani nao unachakachuliwaa!
Ukinunua kilo 1 ya mchele unadhani hiyo kilo 1 Ni halisi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Silesi za mkate zilikuwa 14 sasa ziko 12 na wamepunguza chumvi.
Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40.
Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
Wenzetu wanaoishi Burundi aka ANAUPIGA MWINGI COMPANY LIMITED.Akili za sukuma gang utaziweza kweli, huwa wanaupeo finyu sana
Katengeneze zako Ili ushushe Bei..We jamaa tambi ukikula mara ya mwisho lini maana toka mwaka Jana zilishapanda.
Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40.
Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
Duh hatari sana Hili life
Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40.
Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na punje za Mchele siku hzi Ni nyembamba sana
Haijawahi kuwa na njiti 100Njiti za kiberiti kwenye kibox kimoja zilikua njiti 100, ila sasa hivi zipo 75!
#YNWA