Mara nyingi hatuziishi hesabu tulizofundishwa na walimu wetu wa DRS VII-CSasa si ungepima tu ujazo kwa mzani? Hiyo shida na muda wa kuhesabu tambi kwa tambi yote ya nini? Chukua mzani pima na lingalisha mchezo umeisha!
Itakua upo Mafinga wewe au kwa moh ukinunua chipsi na vigogo vya pipe.Haijawahi kuwa na njiti 100
Tambi zinatengenezwa kwa kutumia nini tuanzie hapo, bila kusahau kuwa ngano imepandaKatengeneze zako Ili ushushe Bei..We jamaa tambi ukikula mara ya mwisho lini maana toka mwaka Jana zilishapanda.
Sukuma gang wanasema mabomba sasa hivi yanatoa maji membamba sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutahesabu hadi maji
Pole Sana.Ngano.Tambi zinatengenezwa kwa kutumia nini tuanzie hapo, bila kusahau kuwa ngano imepanda
Mkuu unahesabu hadi tambi?
Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40.
Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
Tunaelekea canan nchi ya asali na maziwa,huko tutakua na afya na vitambi kama wanaccm
Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40.
Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.