Na wao hulipwa posho za per diem?

Na wao hulipwa posho za per diem?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
IMG_6523.jpeg


Hii picha imenichekesha sana 🤣.

Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?

Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?

Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.

Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
 
Lundo la watu lakini workdone is almost equal to ZERO...

Hawa wenzetu wa nchi za kigeni bila shaka hutuona Watanganyika kama mazuzu fulani hivi eti eeh?

Ndio maana anakusanya "shahada zuga za heshima" kibao ili kupumbazwa naye anaona ni heshima hiyo kumbe ujinga mtupu..!

Sasa hebu angalia. Hawa watu wote wanafanya nini humo chumbani kiasi cha kusimamiana mwingine mbele, mwingine nyuma?
 
View attachment 3008287

Hii picha imenichekesha sana 🤣.

Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?

Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?

Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.

Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Hivi na Gigy Money yupo kwenye huu msafara.
 
Lundo la watu lakini workdone is almost equal to ZERO...

Hawa wenzetu wa nchi za kigeni bila shaka hutuona Watanganyika kama mazuzu fulani hivi eti eeh?

Ndio maana anakusanya "shahada zuga za heshima" kibao ili kupumbazwa naye anaona ni heshima hiyo kumbe ujinga mtupu..!

Sasa hebu angalia. Hawa watu wote wanafanya nini humo chumbani kiasi cha kusimamiana mwingine mbele, mwingine nyuma?
Kwanini useme workdone is almost equal to zero? Kwamba huoni matumizi ya hao walioambatana nao yanatugharimu?

Bibafsi naona workdone equals to negative.
 
Kodi yako hiyo mkuu inatumiwa na Lulu na genge lake la MACHAWA
Tunaambiwa hao waigizaji wameenda kujifunza huko Korea.

Sina hakika wameenda kujifunza nini.

Ni kitu gani ambacho hawakijui na ambacho hao Wakorea wanakijua?

Hao Wakorea wao waliendaga wapi kujifunza hayo wanayoyajua kwenye huo uigizaji?
 
View attachment 3008287

Hii picha imenichekesha sana 🤣.

Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?

Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?

Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.

Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Tunachoma vibaka moto na kuyaacha majizi ya matrion yanadunda
 
View attachment 3008287

Hii picha imenichekesha sana 🤣.

Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?

Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?

Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.

Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Sikuwa mshabiki saana na staili ya uongozi wa JPM, lakini kwenye suala la safari za nje zisizoisha nilimwunga mkono 100%. Hivi kweli kwa utitiri kulikuwa na kujadiliana ama kupewa maelekezo ya nini wakorea wanatupa? Hapa tunatoa picha ya kutokuwa na uongozi madhubuti, wenye kujielewa na kujiamini.
 
Back
Top Bottom