Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Aisee Samia hana mshipa wa aibu. Lipo lipo na mashavu ya kuvimba
Aibu kubwa! Na hapo wanasema liwalo na liwe! Lisemwalo na lisemwe,tumeshika mpini wao wameshika kwenye makali!View attachment 3008287
Hii picha imenichekesha sana 🤣.
Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?
Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.
Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Mimi naamini Rais angewaachia hao waigizaji wafanye huo mkutano na hao waigizaji wenzao.Inachekesha sana hii picha, kibaya zaidi wakorea hata bendera ya kwao hawajaweka, yaani sijui hata walikuwa wanajadiliana nini, aibu sana 😃
Wageni 100 wenyeji 3!View attachment 3008287
Hii picha imenichekesha sana 🤣.
Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?
Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.
Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Kulikuwa na faida gani kwa rais wa nchi kuambatana na wasanii katika ziara yake? What's so special about them in government concerns?Kama uto walilipiwa nauli, na malazi pamoja na per diem ya $500.
Ije kuwa msafara wa Rais? Wanalipiwa kila kitu hao.
Mwisho wa dunia unaweza fika alafu Mungu akasema embu ngoja niwaache hawa Africans nao wasogee sogee kidogo🤣🤣Wageni 100 wenyeji 3!
Safari yetu ni ndefu mno, mpaka mapambazuko yatufikie sijui tutakuwa hali gani !
Lundo la watu lakini workdone is almost equal to ZERO...
Hawa wenzetu wa nchi za kigeni bila shaka hutuona Watanganyika kama mazuzu fulani hivi eti eeh?
Ndio maana anakusanya "shahada zuga za heshima" kibao ili kupumbazwa naye anaona ni heshima hiyo kumbe ujinga mtupu..!
Sasa hebu angalia. Hawa watu wote wanafanya nini humo chumbani kiasi cha kusimamiana mwingine mbele, mwingine nyuma?
Safari ijayo na Ambaruty ndani ya nyumba huu mwaka wa wasanii uchwaranamuona kule nyuma kwa mbaaaaliiiii
Swala lakujifunza kwa waliofanikiwa ni sahihi,Lakini naona aliyemshauri mama kuambatana na hao wasanii kwamba ndani za ziara ndio kuna kujifunza naona ni upuuzi.Alitakiwa akifika Kule aombe kupatiwa wataalamu waje hata DSJ pale hata miezi 3 wawanoe wasanii wote sio hao mala..ya waliokwenda. WATU VIAZI NDIO WAMEKUWA WASHAURI WA SEREKALI.Tunawmbiwa hao waigizaji wameenda kujifunza huko Korea.
Sina hakika wameenda kujifunza nini.
Ni kitu gani ambacho hawakijui na ambacho hao Wakorea wanakijua?
Hao Wakorea wao waliendaga wapi kujifunza hayo wanayoyajua kwenye huo uigizaji?
Hakuna kabisa haja ya Samia kuambatana na wasanii kwenye ziara zake za nje ya nchi.Huyu Samia ukifuatilia sana mambo yake unaweza ukamkufuru Mungu...
Sawa.Swala lakujifunza kwa waliofanikiwa ni sahihi,Lakini naona aliyemshauri mama kuambatana na hao wasanii kwamba ndani za ziara ndio kuna kujifunza naona ni upuuzi.Alitakiwa akifika Kule aombe kupatiwa wataalamu waje hata DSJ pale hata miezi 3 wawanoe wasanii wote sio hao mala..ya waliokwenda. WATU VIAZI NDIO WAMEKUWA WASHAURI WA SEREKALI.
Dalili za wivu,mi nimetangulia kurudi korea ni sehemu nzuri na wakarimu sanaView attachment 3008287
Hii picha imenichekesha sana 🤣.
Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?
Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.
Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Wivu kwa nani?Dalili za wivu,mi nimetangulia kurudi korea ni sehemu nzuri na wakarimu sana
wenye wivu mtapata nafasi mwakani