Na wao hulipwa posho za per diem?

Na wao hulipwa posho za per diem?

View attachment 3008287

Hii picha imenichekesha sana 🤣.

Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?

Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?

Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.

Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Aibu kubwa! Na hapo wanasema liwalo na liwe! Lisemwalo na lisemwe,tumeshika mpini wao wameshika kwenye makali!
 
Viongozi wa nchi zilizoendelea huwa wanawaona viongozi wenzao kutoka Africa ni ngedere zilizochangamka, ukiwa hujielewi zile tabasamu na hospitality unapokaribishwa unaweza kujihisi wanamaanisha.
 
Inachekesha sana hii picha, kibaya zaidi wakorea hata bendera ya kwao hawajaweka, yaani sijui hata walikuwa wanajadiliana nini, aibu sana 😃
Mimi naamini Rais angewaachia hao waigizaji wafanye huo mkutano na hao waigizaji wenzao.

Sioni kabisa tija wala ulazima wa mkuu wa nchi kuwepo hapo.
 
View attachment 3008287

Hii picha imenichekesha sana 🤣.

Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?

Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?

Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.

Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Wageni 100 wenyeji 3!
Safari yetu ni ndefu mno, mpaka mapambazuko yatufikie sijui tutakuwa hali gani !
 
Lundo la watu lakini workdone is almost equal to ZERO...

Hawa wenzetu wa nchi za kigeni bila shaka hutuona Watanganyika kama mazuzu fulani hivi eti eeh?

Ndio maana anakusanya "shahada zuga za heshima" kibao ili kupumbazwa naye anaona ni heshima hiyo kumbe ujinga mtupu..!

Sasa hebu angalia. Hawa watu wote wanafanya nini humo chumbani kiasi cha kusimamiana mwingine mbele, mwingine nyuma?

..Watanganyika?

..inawezekana Wazanzibari ndio wengi ktk hiyo delegation.

..lakini rasilimali za Tanganyika ndio zinapigwa mnada, ila za Zanzibar haziguswi.
 
Tunawmbiwa hao waigizaji wameenda kujifunza huko Korea.

Sina hakika wameenda kujifunza nini.

Ni kitu gani ambacho hawakijui na ambacho hao Wakorea wanakijua?

Hao Wakorea wao waliendaga wapi kujifunza hayo wanayoyajua kwenye huo uigizaji?
Swala lakujifunza kwa waliofanikiwa ni sahihi,Lakini naona aliyemshauri mama kuambatana na hao wasanii kwamba ndani za ziara ndio kuna kujifunza naona ni upuuzi.Alitakiwa akifika Kule aombe kupatiwa wataalamu waje hata DSJ pale hata miezi 3 wawanoe wasanii wote sio hao mala..ya waliokwenda. WATU VIAZI NDIO WAMEKUWA WASHAURI WA SEREKALI.
 
Swala lakujifunza kwa waliofanikiwa ni sahihi,Lakini naona aliyemshauri mama kuambatana na hao wasanii kwamba ndani za ziara ndio kuna kujifunza naona ni upuuzi.Alitakiwa akifika Kule aombe kupatiwa wataalamu waje hata DSJ pale hata miezi 3 wawanoe wasanii wote sio hao mala..ya waliokwenda. WATU VIAZI NDIO WAMEKUWA WASHAURI WA SEREKALI.
Sawa.

Lakini hao waliofanikiwa, wao walijifunza toka kwa nani?
 
View attachment 3008287

Hii picha imenichekesha sana 🤣.

Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?

Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?

Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.

Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Dalili za wivu,mi nimetangulia kurudi korea ni sehemu nzuri na wakarimu sana
wenye wivu mtapata nafasi mwakani
 
Huku ni kuhujumu uchumi wa nchi. Dreamliner imepaki Korea siku ya tano leo bila kufanya ratiba yake ya China kisa inangojea kijiji cha wasanii na machawa walioko kwenye mkutano na wakorea wachache ukumbini....Hii aibu gani hii?
 
Back
Top Bottom