Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalipwa. Na wakishalipwa wanarudi kuwalipa bodaboda wetu, bajaji, mama lishe, na makundi mengine ya watz masikini.View attachment 3008287
Hii picha imenichekesha sana 🤣.
Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?
Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.
Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Huwa wana wake mziki mnene kwenye zile Home theater zao halafu wanacheka kinyama ili tusisikie sisi tunabaki tu kusema aloo kitu cha Samsung mziki mnene.Hao jamaa sijui wakorea nahisi wakitoka hapo hua wanatusema vibaya sana wakiwa wenyewe, au wanajifungia mahali wanacheka balaa
Mimi bado hata sijui ambacho Wakorea wanakijua kuhusu uigizaji na ambacho sisi hatukijui mpaka kumlazimu rais aende na rundo la waigizaji wa Kitanzania huko Korea!Sikuwa mshabiki saana na staili ya uongozi wa JPM, lakini kwenye suala la safari za nje zisizoisha nilimwunga mkono 100%. Hivi kweli kwa utitiri kulikuwa na kujadiliana ama kupewa maelekezo ya nini wakorea wanatupa? Hapa tunatoa picha ya kutokuwa na uongozi madhubuti, wenye kujielewa na kujiamini.
Hao walioko kwenye row ya pili na tatu wapewe karanga tafadhali.View attachment 3008287
Hii picha imenichekesha sana 🤣.
Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?
Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.
Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Hawajawahi kukutana na wa Korea , hivyo ilibidi wakawaone huko huko siyo kusubiri waje huku..Halafu hakuna wanachochangia, naona wanachat tu.
Aibu twaona sisi wananchi. Ni aibu aibu aibu.Aisee Samia hana mshipa wa aibu. Lipo lipo na mashavu ya kuvimba
Hata kama ingekuwa ni hivyo, bado ingekuwa ni ufujaji wa pesa za uma bila sababu za msingi.Ni kama sisi ndio wenyeji wao ni wageni
Bila kututaja husikii raha..!🤸Kama uto walilipiwa nauli, na malazi pamoja na per diem ya $500.
Ije kuwa msafara wa Rais? Wanalipiwa kila kitu hao.