Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
Mbona kawaida tu Mkuu! Usitumie bure, huo ndio Mwendo, zoea!Wageni 100 wenyeji 3!
Safari yetu ni ndefu mno, mpaka mapambazuko yatufikie sijui tutakuwa hali gani !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kawaida tu Mkuu! Usitumie bure, huo ndio Mwendo, zoea!Wageni 100 wenyeji 3!
Safari yetu ni ndefu mno, mpaka mapambazuko yatufikie sijui tutakuwa hali gani !
Mkuu hawapo special ila nao ni watanzania wenzetu, Rais kaona awatoe nao watembee, ziara nyingine atachukuwa wakulima na wavuvi na kadhalika. Hakuna sheria iliyovunjwa Mkuu, tulia waigizaji na walambe keki ya Taifa! Chuki ya nini.Kulikuwa na faida gani kwa rais wa nchi kuambatana na wasanii katika ziara yake? What's so special about them in government concerns?
Kalamu
KENZY
JokaKuu
Nyani Ngabu
Mkuu hawapo special ila nao ni watanzania wenzetu, Rais kaona awatoe nao watembee, ziara nyingine atachukuwa wakulima na wavuvi na kadhalika. Hakuna sheria iliyovunjwa Mkuu, tulia waigizaji na walambe keki ya Taifa! Chuki ya nini. KKulikuwa na faida gani kwa rais wa nchi kuambatana na wasanii katika ziara yake? What's so special about them in government concerns?
Kalamu
KENZY
JokaKuu
Nyani Ngabu
Mkuu unasahau Rais Samia ni actor in chief, kuambatana na wasanii ni jambo jema tu, hakuna sheria iliyonjwa na sio kweli kuwa wasanii hawana uwezo wa kiakili. Dharau zingine kwa watanzania wenzio hazifai Mkuu!!!Hakuna kabisa haja ya Samia kuambatana na wasanii kwenye ziara zake za nje ya nchi.
Hao wasanii wanaweza kwenda peke yao bila kuandamana na Rais.
🤣 🤣 🤣 👍Dalili za wivu,mi nimetangulia kurudi korea ni sehemu nzuri na wakarimu sana
wenye wivu mtapata nafasi mwakani
Mkuu hakuna ubaya, chuki ya nini!!! Toa mchanganuo wa gharama iliyotakiwa kutumika na iliyopitiliza ili tukusome vizuri kuhusu uhujumu uchumi. Chuki haimuachi mwenye nayo salama!Huku ni kuhujumu uchumi wa nchi. Dreamliner imepaki Korea siku ya tano leo bila kufanya ratiba yake ya China kisa inangojea kijiji cha wasanii na machawa walioko kwenye mkutano na wakorea wachache ukumbini....Hii aibu gani hii?
Basi tuambie wewe mkuu hayo yalikuwa majadiliano ya nini na bendera yetu na Rais wetu vinafanya nini hapoMkuu sio kila picha unayo ione inahusu majadiliano ya Kiserikali, sema wabongo tunachonga saana!
Ndio, tena in USDnywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Hakuna chuki hapa, nimeandika ukweli uliobayana kwamba kuna matumizi mabaya ya mali ya umma yanayoashiria kuhujumu sekta nyingine. Huo ndio ukweli na sihitaji kumuonea haya mtu kwenye hili. Nalipa Kodi Ili itumike vizuri sio kama hivi.Mkuu hakuna ubaya, chuki ya nini!!! Toa mchanganuo wa gharama iliyotakiwa kutumika na iliyopitiliza ili tukusome vizuri kuhusu uhujumu uchumi. Chuki haimuachi mwenye nayo salama!
Basi tuambie wewe mkuu hayo yalikuwa majadiliano ya nini na bendera yetu na Rais wetu vinafanya nini hapo
🙏Hakuna chuki hapa, nimeandika ukweli uliobayana kwamba kuna matumizi mabaya ya mali ya umma yanayoashiria kuhujumu sekta nyingine. Huo ndio ukweli na sihitaji kumuonea haya mtu kwenye hili. Nalipa Kodi Ili itumike vizuri sio kama hivi.