Na wao hulipwa posho za per diem?

Na wao hulipwa posho za per diem?

Masikini! Sifa mojawapo ya Masikini ni kuchukia tu watu wengine wakipata. Alikuharibu yule Shetani la Chattle aliyekuwa hapendi watu wakipata.
Badilika
Unajua kwanini nakuita una akili za kimasikini!?
Mtu mwenye akili za kimasikini kama wewe ana sifa kuu mbili ama tatu;
1)Huwa ana mawazo ya kibinafsi kwa kujitizama yeye.
2)Huwa hafikirii mbali yani hana fikra za mbali za upeo.
3)Huchukulia mambo kuwa ni kibinafsi zaidi yani PERSONAL.
Hili sio jambo personal.
Huyo kiongozi wa nchi,pesa zilizotumika ni kodi.
Hili taifa linapitia ukata wa fedha na kutokukamilika kwa miradi muhimu.
Watu wanakaa kutoa mawazo chanya wewe unaona kama wanaonea watu wivu wamepata.
Hao kina Lulu mbona hatukuwasema walipokua wanaigiza na kufanya mambo yao mengine!?
Kwanini tumseme rais akienda nao Korea!?
Ulikaa ukajiuliza hilo!?
Usikute nabishana na mchumia tumbo ambaye kwake chochote sawa tu ilimradi apate pesa.
SUCH A DUNDERHEAD.
 
Unajua kwanini nakuita una akili za kimasikini!?
Mtu mwenye akili za kimasikini kama wewe ana sifa kuu mbili ama tatu;
1)Huwa ana mawazo ya kibinafsi kwa kujitizama yeye.
2)Huwa hafikirii mbali yani hana fikra za mbali za upeo.
3)Huchukulia mambo kuwa ni kibinafsi zaidi yani PERSONAL.
Hili sio jambo personal.
Huyo kiongozi wa nchi,pesa zilizotumika ni kodi.
Hili taifa linapitia ukata wa fedha na kutokukamilika kwa miradi muhimu.
Watu wanakaa kutoa mawazo chanya wewe unaona kama wanaonea watu wivu wamepata.
Hao kina Lulu mbona hatukuwasema walipokua wanaigiza na kufanya mambo yao mengine!?
Kwanini tumseme rais akienda nao Korea!?
Ulikaa ukajiuliza hilo!?
Usikute nabishana na mchumia tumbo ambaye kwake chochote sawa tu ilimradi apate pesa.
SUCH A DUNDERHEAD.
Wewe ni wale mlioharibiwa na lile shetani lenu la Chattle.
Aliwapandikiza wivu wa kimasikini kabisa kumchukia kila anayeonekana kufaidi maisha. Yaani kwenu mnatamani watu wote tuwe sawa. Hata Mungu mwenyewe hakutuumba hivyo. Endelea kupiga kelele uone kama zitakusaidia au kuzuia wale wasifaidi keki ya Taifa. Hizo zako ni kelele za chura tu. Ndo mana unazeeka mapema kwa sabab ya chuki na kukunjakunja sura throughout....
 
Wewe ni wale mlioharibiwa na lile shetani lenu la Chattle.
Aliwapandikiza wivu wa kimasikini kabisa kumchukia kila anayeonekana kufaidi maisha. Yaani kwenu mnatamani watu wote tuwe sawa. Hata Mungu mwenyewe hakutuumba hivyo. Endelea kupiga kelele uone kama zitakusaidia au kuzuia wale wasifaidi keki ya Taifa. Hizo zako ni kelele za chura tu. Ndo mana unazeeka mapema kwa sabab ya chuki na kukunjakunja sura throughout....
MSENGE WEWE KUWA NA AKILI.
HAPA NIMEZUNGUMZIA KUHUSU SAMIA KUTAPANYA PESA SIJAZUNGUMZIA MALAYA WENZAKO KINA LULU HAPA.
Pia usini quote you MIGHT TARNISH MY PRESTIGE.
KAA PEMBENI NIJADILIANE NA WENYE AKILI.
Maana akili huna.
UNAWEZA KUNIONESHA NILIPOLETA PERSONNAL ATTACK KWA HAO WASANII!?
MSENGE WA KUTUPWA.
Tena ngojea niku block.
 
MSENGE WEWE KUWA NA AKILI.
HAPA NIMEZUNGUMZIA KUHUSU SAMIA KUTAPANYA PESA SIJAZUNGUMZIA MALAYA WENZAKO KINA LULU HAPA.
Pia usini quote you MIGHT TARNISH MY PRESTIGE.
KAA PEMBENI NIJADILIANE NA WENYE AKILI.
Maana akili huna.
UNAWEZA KUNIONESHA NILIPOLETA PERSONNAL ATTACK KWA HAO WASANII!?
MSENGE WA KUTUPWA.
Tena ngojea niku block.
Matusi tena!
lkn Sikushangai, hiyo ndo legacy alokuachieni Mwendakuzimu wenu
 
MSENGE WEWE KUWA NA AKILI.
HAPA NIMEZUNGUMZIA KUHUSU SAMIA KUTAPANYA PESA SIJAZUNGUMZIA MALAYA WENZAKO KINA LULU HAPA.
Pia usini quote you MIGHT TARNISH MY PRESTIGE.
KAA PEMBENI NIJADILIANE NA WENYE AKILI.
Maana akili huna.
UNAWEZA KUNIONESHA NILIPOLETA PERSONNAL ATTACK KWA HAO WASANII!?
MSENGE WA KUTUPWA.
Tena ngojea niku block.
Usiniblock ajuza wewe!
Mbona wazeeka vibaya hivyo!?
Umekuja lini hapa mjini?
Vumilia tu, si siku nyingi utazoea tu...
 
View attachment 3008287

Hii picha imenichekesha sana [emoji1787].

Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?

Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?

Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.

Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Upumbavu kabisa huu
 
Siyo Vibaya kujifunza kw waliokutangulia kiujuzi , ile ni furnace ya waigizaji wetu kupata uzoefu na ujuzi pia kuangalia uwezekano wa kuungana nao katika kazi za Sanaa uandaaji nk, Hawa watu wa Asia nchi nyingi zilizoendelea walikaa Chini wakajiuliza Ili tuwe na maendeleo tunahitaji nini? Wakapata jibu kuwa ni elimu, hatua ya kwanza waliamua kuifuata inakopatikana kwa kuipeleka Vijaya ng'ambo wa fani mbalimbambali kupata ujuzi wakati huo wanajenga shule na vyuo vyao , Leo wanakula matunda hivyo hata wasanii wameifuata elimu, ujuzi na technologia inakopatika
 
Mimi bado hata sijui ambacho Wakorea wanakijua kuhusu uigizaji na ambacho sisi hatukijui mpaka kumlazimu rais aende na rundo la waigizaji wa Kitanzania huko Korea!

Wanachokijua wao na ambacho sisi hatukijui ni kipi hasa?
Uigizaji ni kazi ya sanaa na sanaa ni taaluma pia inayofundishika. Kama nia yake ni kukuza sanaa ya uigizaji kwanini hakwenda na wasomi wa fani hiyo waliopo chuo cha sanaa Bagamoyo ili watakachokipata warudi kukifundisha nchini? Hao ni wazururaji tu ndio maana hujaona hata picha moja ya muigizaji wa Korea aliyepoteza muda kukaa na chawa hao wasio na shule.
 
Uigizaji ni kazi ya sanaa na sanaa ni taaluma pia inayofundishika. Kama nia yake ni kukuza sanaa yauigizaji kwanini hakwenda na wasomi wa fani hiyo waliopo chuo cha sanaa Bagamoyo ili watakachokipata warudi kukifundisha nchini? Hao ni wazururaji tu ndio maana hujaona hata muigizaji wa Korea anayeweza kupoteza muda kukaa na chawa hao wasio na shule.
Ni kweli kabisa,kuwachukua hao ni wastage of money,hao kikubwa watachofanya ni kupiga picha na kushare Snapchat.
 
Inachekesha sana hii picha, kibaya zaidi wakorea hata bendera ya kwao hawajaweka, yaani sijui hata walikuwa wanajadiliana nini, aibu sana 😃
Mkuu sio kila picha unayo ione inahusu majadiliano ya Kiserikali, sema wabongo tunachonga saana!
 
🤣🤣

Pia nimejiuliza hili swali: watu serious Kama Julius Nyerere na Benjamin Mkapa kweli wangeweza kuambatana na rundo la waigizaji namna hiyo na kushiriki mjadala wa mambo ya uigizaji?
Mkuu kwani mtanzania wa kawaida, wa hali ya chini, mlipa kodi hana haki na hadhi ya kuwepo kwenye msafara wa Rais, sheria gani ya nchi imekiukwa??? Acha chuki na roho mbaya! Kwa wanamuziki wao sio watanzania! Ebo!
 
Aibu kubwa! Na hapo wanasema liwalo na liwe! Lisemwalo na lisemwe,tumeshika mpini wao wameshika kwenye makali!
Mkuu kila mtu kutesa kwa zamu, kipindi cha Sukuma gang ilikuwa hivyo!!! Kubal kuwa kila zamu na kitabu chake!
 
Back
Top Bottom