92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
tulia upakwe dawaUsi myanyapae kwa sababu ya unene wake, meza nzima ni wageni waalikwa hata hawajui wanafanya nini, wanasubiria muda wa kula na kwenda kutembea madukani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tulia upakwe dawaUsi myanyapae kwa sababu ya unene wake, meza nzima ni wageni waalikwa hata hawajui wanafanya nini, wanasubiria muda wa kula na kwenda kutembea madukani.
Hahah, siyo sawa kunyanyapaa tuuseme ukweli,tulia upakwe dawa
Lulu agome kwa minajili ipi sasa?Ungekua Lulu ungegoma kwenda Korea?
Naendelea kulipa kodi kitiifu..
Hiyo ni rushwa kwa wasaniiiKuna watu baada ya kutoka hiyo safari ukiwauliza nini kilijadiliwa hawataweza kukuambia chochote cha maana.
Ila Mkapa, hivi inawezekana maisha yake baada ya kuajiriwa alipata fursa ya hata ya siku tatu kustarehe!!Sipati picha eti Julius Nyerere au Benjamin Mkapa ashiriki kikao nje ya nchi na waigizaji wa filamu za bongo movie na Korean soap operas.
Hata wasipolipwa per-diem, serikali imelazimika kutumia ndege kubwa ya Boeing na kureserve hotel kubwa ya kutosha ujumbe wa Tanzania kwa ajili yao, na hivyo kuongeza gharama za serikali.View attachment 3008287
Hii picha imenichekesha sana 🤣.
Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?
Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.
Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Kwako starehe ni nini?Ila Mkapa, hivi inawezekana maisha yake baada ya kuajiriwa alipata fursa ya hata ya siku tatu kustarehe!!
Hizo ni shida za kawaida sn Africa nzima. Haziwezi kuisha eti kwa kuzuia ziara za wasanii nje ya nchi. Acha wivu. Kama ww huna ndugu ama rafiki kwenye msafara huo tuache.! We baki na gubu lakonkwa kudhani yupo anayeweza kubaliza shida zenuAiseee ona huyu anazungumzia nini!
Kwa akili zako hayo matumizi uliyoyaainisha ni mnufaiko mkubwa ama mnufaiko mdogo wa jamii!?
Kwani mie nilisema pesa walipwe viongozi wa serikali!?
Kwa bajeti ya kusafiri na hao wasanii jumlisha gharama ya vyakula na malazi jumlisha na posho kama watapewa,unajua hizo pesa zingesaidia wapi kwa kiasi kikubwa kwa raia!?
Tanzania bado kuna vijiji kibao maji shida,kuchimba kisima kirefu plus mtambo wa kusafisha maji ni milioni 47-50.
Je unajua kwa hizo pesa visima vingapi vingechimbwa!?
Jinga kabisa.
Una hasara ww ambaye unakiri kuongozwa na Kiongozi asiye na focus na still upo upo tu, si urudi kwenu kwa Kiongozi mwenye focus!?Kwa hiyo hao nao ni diplomats wa Tanzania?
Sijui tulimkosea nini Mungu sisi watanzania kwa kutupa misalaba ya viongozi wasio na focus kama huyu aliyepo kwa sasa.
Hii hatari snNi heri angemchikua huyu akapate tiba ya stimu
View attachment 3008299
Maji safi unaita shida za kawaida!?Hizo ni shida za kawaida sn Africa nzima. Haziwezi kuisha eti kwa kuzuia ziara za wasanii nje ya nchi. Acha wivu. Kama ww huna ndugu ama rafiki kwenye msafara huo tuache.! We baki na gubu lakonkwa kudhani yupo anayeweza kubaliza shida zenu
Na kuna mpumbavu wa fikra anakwambia eti ni sawa na ukiwasema unawaonea wivu.Kwa hiyo hao nao ni diplomats wa Tanzania?
Sijui tulimkosea nini Mungu sisi watanzania kwa kutupa misalaba ya viongozi wasio na focus kama huyu aliyepo kwa sasa.
frankly speaking, samia hana sifa hata za kuwa mkuu wa wilaya, sijui kwanini amefika hapo!Kama serikali ndo inagharamia gharama za hao wasanii kwenye hiyo safari, hayo ni matumizi mabaya sana ya kodi za wananchi.
Baki kulalama sie twala. Ikikuuma sn hama nchi. Acha watu wale, we subiri aje Rais mwingine akupelekee hayo maji kijijini kwenuMaji safi unaita shida za kawaida!?
😂😂😂😂Kweli raia masikini wa fikra kama wewe ndio mtaji wa CCM.
Umaskini wa kipato kwa mtu mmoja mmoja hilo ndilo jambo la kawaida,maana huwezi kufanya watu wote tajiri,ila sio suala la maji kijana.
Embu kuwa na exposure hata kidogo.
Kwanini niwe na wivu?
Sasa hao kina Lulu na Gigy wasanii au MALAYA WANAOJIFICHA NYUMA YA SANAA??
Au siku hizi kusema ukweli imekua wivu!?
Ukoo wetu ni ukoo wa descent jobs kijana.
Katika raia wote wa taifa hili yuko mtu moja aliona kuwa huyo ndiye anafaa kuwa mgombea mwenza kwa kiti cha Urais! Naomba tusisahau kuwa ndege wafananao huruka pamoja.frankly speaking, samia hana sifa hata za kuwa mkuu wa wilaya, sijui kwanini amefika hapo!
nchi hii akili ndogo ndio zinatuongoza, matokeo yake ndio haya!
Still fikra za kimasikini.Baki kulalama sie twala. Ikikuuma sn hama nchi. Acha watu wale, we subiri aje Rais mwingine akupelekee hayo maji kijijini kwenu
Masikini! Sifa mojawapo ya Masikini ni kuchukia tu watu wengine wakipata. Alikuharibu yule Shetani la Chattle aliyekuwa hapendi watu wakipata.Still fikra za kimasikini.
Pole sana.