lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
View attachment 3008287
Hii picha imenichekesha sana 🤣.
Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?
Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.
Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
[/QUOTES
Uchaguzi Mkuu u karibu
Kwa hiyo kwa akili yako hiyo hela hawatorudi nayo kuja kuhonga malaya wa bongo?Ona huyu nae anaropoka nini.
We una uhakika matumizi yao yataendana na ulichokieleza hapo!?
Hao wasanii watatumbua hela kistarehe kwa manufaa na mnufaiko wa wachache.
Pia usisahau gharama ilotumika kuwasafirisha na kuwapa huduma ya vyakula na malazi huko walipo.
Aiseee ona huyu anazungumzia nini!Kwa hiyo kwa akili yako hiyo hela hawatorudi nayo kuja kuhonga malaya wa bongo?
Hawatotumia kulewa kwenye baa zetu?
Hawatosaidia kulipa ada za ndugu zao?
Hawatotoa msaada kwa ndugu zao?
We huna akili, hujui ht nn multiplier effect ya watakacholipwa.
Unapenda siku zote kusikia pesa hizo wanalipwa viongozi wa serikali tu!
🤣🤣Kuna mmoja hapo mnene balaa 😄
Ova
Hilo ni moja!Kuna watu baada ya kutoka hiyo safari ukiwauliza nini kilijadiliwa hawataweza kukuambia chochote cha maana.
Nilishawaambia hii nchi kwa sasa inaongozwa na under age..tiss imejaza under age watupu, under age kwa maana umri wao na majukumu ya kazi wanazofanya havilingani, sawa ana elimu lakin umri kulingana na majukumu mtu anapaswa kuyafanya ni muhimu sana, kasoro hii ilianza awamu ya 4..ndio maana mambo ya kitoto ni mengi sana ndani ya serikali..jaribu kufikiri, watu wazima na akili zao wanaweza kuwaza kuweka mabango ya kiongozi nchi nzima kana kwamba anaowaongoza hawajui mazuri anayofanya? Hizi ni akili za kitoto, ni kama ikulu tumeachia watoto na wanachaguana wao kwa wao..Biteko, bashungwa, mchengerwa, katambi, mavunde nk..mtu mzima hawezi kuruhusu msafara wa aina hii pamoja na Rais wa nchi..wametweza sana nafasi za uongozi kuanzia ma DC, DAS, hata Wakuu wa mikoa..ujinga ujinga mwingi sana tofauti na awamu ya 3 kurudi nyuma..kwa sasa DC kuzaa nje ya ndoa ni kitu cha kawaida kabisa.🤣🤣
Pia nimejiuliza hili swali: watu serious Kama Julius Nyerere na Benjamin Mkapa kweli wangeweza kuambatana na rundo la waigizaji namna hiyo na kushiriki mjadala wa mambo ya uigizaji?
Hivi Zero ni kubwa kuliko negative?Kwanini useme workdone is almost equal to zero? Kwamba huoni matumizi ya hao walioambatana nao yanatugharimu?
Bibafsi naona workdone equals to negative.
Kila mwaka report ya CAG inasema shirika letu la ndege linapata hasara za mabilioni ya dollar/shillingi. Sababu ni ndio hizi, wanatumia ATCL kubebana na hawalipi nauli kwasababu ni ziara zao.View attachment 3008287
Hii picha imenichekesha sana 🤣.
Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?
Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.
Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Kama serikali ndo inagharamia gharama za hao wasanii kwenye hiyo safari, hayo ni matumizi mabaya sana ya kodi za wananchi.Kila mwaka report ya CAG inasema shirika letu la ndege linapata hasara za mabilioni ya dollar/shillingi. Sababu ni ndio hizi, wanatumia ATCL kubebana na hawalipi nauli kwasababu ni ziara zao.
Kama mkopo waliisha kubali kutupatia wangeenda wahusika kusign hakukua na haja ya kubeba team nzima ya watawala na washangiliaji.
Na hawa hulipwa, huu ni mwaka wa uchaguzi wasipolipwa hawata mshangilia mgombea wao.
Rais Magufuli alikataa kuishi angani kila siku safari, na wakianza safari ya kurudi wanaanza wako kwenye simu kutafuta safari, wakikosa hata Burundi wanaenda ilimradi tu asikae nchini.
Serikali inagharimia safari, kula, kulala, na shopingi, na posho ya kujikimu. Budget ya ikulu haikaguliwi na CAG, tena safari na mapocho pocho ndio kabisaa, wanatumia bila ukomo na hatutajua ni kiasi gani kimetumika.Kama serikali ndo inagharamia gharama za hao wasanii kwenye hiyo safari, hayo ni matumizi mabaya sana ya kodi za wananchi.
Nchi inajengwa na Watu wenye moyo na huliwa na Watu wenye menoView attachment 3008287
Hii picha imenichekesha sana 🤣.
Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana?
Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana na Rais kwenye hizo ziara zake za nje ya nchi na wao hulipwa hizo posho za siku?
Tumeambiwa kuwa huko Korea Kusini kaambatana na waigizaji.
Hao waigizaji wamejilipia wenyewe hizo gharama au ni pesa za walipa kodi ndo zinatumika?
Usi myanyapae kwa sababu ya unene wake, meza nzima ni wageni waalikwa hata hawajui wanafanya nini, wanasubiria muda wa kula na kwenda kutembea madukani.nimejaribu kumzingatia huyo bonge naamini haelewi kinachoendelea anaangalia kucha zake........ nadhani yeye ndiye mtu pekee mwenye simu meza nzima.....
bado tunaona wanavyopwaya ila tutawarudisha pale pale bila kujali