Itategemeana na dar es salaam unafanya shughuli gani . Kuna watu wapo dar es salaam kwenye biashara na wamefanikiwa vizuri na wanatuma pesa Nyumbani pia kuna wengine wapo na ajira katika taasis mbalimbali na wanatuma pesa Nyumbani na wengine wanaopata pesa kidogo na wanatuma Nyumbani kwaoKwakuwa mnalalamika Sana ,
Basi na nyie njooni Dar es Salaam ili tuone Kama mtakuwa mnatuma hela Nyumbani.
Kwa mantiki hii, kumbe nyote (wote?!!) mpo sahihi. Mlichotofautiana ni angle tu ya kuingilia. So far, kila mmoja ameeleza kitu sahihi kabisa.Sielewi ulichaondika unazunguka sana😅😅..
Nakuelewesha ana maanisha kwanza Dar kuna maisha ya hanasa na ya juu sana yaani unaweza kupata pesa yote ikaisha hii ni dhidi ya mikoa yote ya Tanzania...Kwamba Dar unapata pesa ila still matumizi ni makubwa na gharama za maisha.
Unaijua gharama za maisha ya New york wangapi wanaishi huko miaka hata 10 ila pesa hawatumi bongo..Sio kwamba hawazipati ila wanatumia gharama za maisha zipo juu.
New york ina gharama za maisha ya juu kuliko Dar unaweza kuwa unapata $3,000 kwa mwezi ila ikaisha yote kweny matumizi na usitume kwenu ila hyo pesa ukipata ukiwa dar ni ndefu hata kujenga kwenu fasta ..
"sembuse" kuonyesha kitu fulani ni dhaifu dhidi ya mwenzie .katika gharama za maisha Dar ni dhaifu dhidi ya Ne York (kuna maisha ya gharama sana)
Ndio tupo sahihi woteKwa mantiki hii, kumbe nyote (wote?!!) mpo sahihi. Mlichotofautiana ni angle tu ya kuingilia. So far, kila mmoja ameeleza kitu sahihi kabisa.
Kwakuwa mnalalamika sana,
Basi na nyie njooni Dar es Salaam ili tuone Kama mtakuwa mnatuma hela Nyumbani.
Njoo utafikia huku kwetu pazuri hamna jotoDar labd nije kutembea lkn mazingira ya kuishi binadamu mwenye akili timamu yamekaa kimazingara.
Hapana sitaki hata.Njoo utafikia huku kwetu pazuri hamna joto
Basi endelea kulima mkuuHapana sitaki hata.
Uliambiwa kila anaeishi nje ya Dar ni mkulima eeh?Basi endelea kulima mkuu
Make hapo kwanza ncheke[emoji23]Seriously unafananisha NY na Dar? Au ulitaka tuu u comment?
Mkuu,Kwakuwa mnalalamika sana,
Basi na nyie njooni Dar es Salaam ili tuone Kama mtakuwa mnatuma hela Nyumbani.
Sawa Mkuu ligi kubwa hapa daslama inahitaji only smartest peoplesUliambiwa kila anaeishi nje ya Dar ni mkulima eeh?
Basi ulidanganywa.
Smartest people wanatakiwa kote si huko tu.Sawa Mkuu ligi kubwa hapa daslama inahitaji only smartest peoples
Kwahiyo hayo maisha ndo mmeyapotezea dar..?!!!Acha janjajanja tuma hela kwenu wanakutegemea kwani si uliaga unakuja mjini kutafuta maisha[emoji23]