Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Tigo ilikuwa bure kama sikosei. Tozo zimekuwa nyingi sana. Na Ndugai, kama vile yeye ni waziri wa serikali, amesema, 'unune au useme, wao wanaenda na miamala.'How much was it in the past
Ilikuwa bure, Iwe ni kuangalia salio au kutuma benki to benki, au benki to simu.How much was it in the past
Ni kweli mkuuTigo ilikuwa bure kama sikosei. Tozo zimekuwa nyingi sana. Na Ndugai, kama vile yeye ni waziri wa serikali, amesema, 'unune au useme, wao wanaenda na miamala.'
Ilikuwa bure, Iwe ni kuangalia salio au kutuma benki to benki, au benki to simu.
Nilikuwa nafanya hivyo kwa Tigo na Stanbic Bank.
Tigo ilikuwa bure kama sikosei. Tozo zimekuwa nyingi sana. Na Ndugai, kama vile yeye ni waziri wa serikali, amesema, 'unune au useme, wao wanaenda na miamala.'
Mkuu, Tuliambiwa wanaopinga wahamie Taifa gani vile?!??Tozo zinaendelea.....
Hakuna pa kukimbilia, tulia hapo hapo ulipo
Hakika mkuu ShadeeyaMpaka tuombe poo
View attachment 1866552
Free of chargeHow much was it in the past