Na wewe umepokea ujumbe huu wa tozo za huduma ya Simbanking?

Na wewe umepokea ujumbe huu wa tozo za huduma ya Simbanking?

Kwa wafanyakazi katika taasisi yoyote watakeni waajiri wenu wawalipe mishahara yenu dirishani ili hiyo miamala walipe waliotunga hiyo sheria.
Mkuu, Tyetyetye Humuogopi JOBU?!
Wakikusikia, Utakula mvua ya kuhujuhumu uchumi, Utakula mvua ya uhaini mkuu.
 
Nimeiona huo ujumbe thou sijaupokea,...I mean sijaufungua
 
Mimi niko Bunumbura hapa nimeingia toka juzi kuitikia wito wa Waziri. Maisha huku ni laini asikuambie mtu..
 
.
20210724_160705.jpg
 
Kwa wafanyakazi katika taasisi yoyote watakeni waajiri wenu wawalipe mishahara yenu dirishani ili hiyo miamala walipe waliotunga hiyo sheria.
Hili wazo lako ni zuri sana,haswa sie tulio private sectar inawezekana tukapewa mkononi mishahara yetu
 
Back
Top Bottom