Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
- Thread starter
- #21
Ni zaidi ya Edson Arantes na Diego Almando yaani!!Mama Samìa anaupiga mwingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni zaidi ya Edson Arantes na Diego Almando yaani!!Mama Samìa anaupiga mwingi sana
Tuliipenda wenyewe tutuTozo zinaendelea.....
Ngoja nitaulizia.HIV nauli toka Dodoma mpaka Burundi sh. Ngapi?
VerilyFree of charge
Ni makali kama makali ya kisu cha mkuu NgaribaNimeiona huo ujumbe thou sijaupokea,...I mean sijaufungua
Hili wazo lako ni zuri sana,haswa sie tulio private sectar inawezekana tukapewa mkononi mishahara yetuKwa wafanyakazi katika taasisi yoyote watakeni waajiri wenu wawalipe mishahara yenu dirishani ili hiyo miamala walipe waliotunga hiyo sheria.
Ngarika wakileo wanatumia ganz, kisu hata kiwe kikali hausikii maumivu.Ni makali kama makali ya kisu cha mkuu Ngariba
Hizo application vipi ukiwa maeneo internet haisomi ?Benki nyingi sina app za simbanking, ingia playstore utaweza kudowload, huduma nadhani itabakia bure kwa kuwa hutalazimika kutumia ussd channel.
Kitakachofuata ni watu kutotumia simbanking!
Penalty itapigwa mpaka ndani ya 12Hili wazo lako ni zuri sana,haswa sie tulio private sectar inawezekana tukapewa mkononi mishahara yetu
Mkuu, Ya ganzi haipendezi hiyo.Ngarika wakileo wanatumia ganz, kisu hata kiwe kikali hausikii maumivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakaba pote poteHizo application vipi ukiwa maeneo internet haisomi ?
Na vipi Kama huna Bando ?