Na wewe umepokea ujumbe huu wa tozo za huduma ya Simbanking?

Kwa wafanyakazi katika taasisi yoyote watakeni waajiri wenu wawalipe mishahara yenu dirishani ili hiyo miamala walipe waliotunga hiyo sheria.
 
Kwa wafanyakazi katika taasisi yoyote watakeni waajiri wenu wawalipe mishahara yenu dirishani ili hiyo miamala walipe waliotunga hiyo sheria.
Mkuu, Tyetyetye Humuogopi JOBU?!
Wakikusikia, Utakula mvua ya kuhujuhumu uchumi, Utakula mvua ya uhaini mkuu.
 
Nimeiona huo ujumbe thou sijaupokea,...I mean sijaufungua
 
Mimi niko Bunumbura hapa nimeingia toka juzi kuitikia wito wa Waziri. Maisha huku ni laini asikuambie mtu..
 
Kwa wafanyakazi katika taasisi yoyote watakeni waajiri wenu wawalipe mishahara yenu dirishani ili hiyo miamala walipe waliotunga hiyo sheria.
Hili wazo lako ni zuri sana,haswa sie tulio private sectar inawezekana tukapewa mkononi mishahara yetu
 
Benki nyingi sina app za simbanking, ingia playstore utaweza kudowload, huduma nadhani itabakia bure kwa kuwa hutalazimika kutumia ussd channel.
Hizo application vipi ukiwa maeneo internet haisomi ?

Na vipi Kama huna Bando ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…