Hahaaa hii itakuwa under my terms and conditions. First of all i am going to change my identity and will pounce on you without you knowing you are dealing with Caren. You will know it when i report the outcome here. So if i make the decision i will go into the game. The good thing thanks to some outspoken JF members i have a pretty good idea of where to find you and tempt u!!
hata mimi nimeliona hili. katibu anatafuta new members kwa style yake. na hivi yeye ndo katibu, huko faragha alikoomba atakuwa akitoa kadi ya uanachama kila baada ya meeting.
Good strategy!
hata mimi nimeliona hili. katibu anatafuta new members kwa style yake. na hivi yeye ndo katibu, huko faragha alikoomba atakuwa akitoa kadi ya uanachama kila baada ya meeting.
Good strategy!
Mi nimeuliza swali!! Inaruhusiwa kwa mwanaJF kumtafuna mwanaJF mwenzake? if yes naweza fikiria kutoka katika kustaafu kwa ajili ya kukutempt urudi kwenye chama chako. Na wewe utapaswa kuonyesha nia ya kweli ya kuacha kutamani na kumcha BWANA. (Mind you, you will not get me to bed you but at least nitafanikiwa kukuleta kwa kitanda, nitakuchojoa na kukuacha solemba kama nilivyokuwa nafanya zamani enzi zangu za kuwa katika game).
Caren naona 2010 uko kikazi zaidi plus Avatar :A S 13:
Katibu huyu FP vipi, nimpe risiti? Najua utakuwa ushachukua ada yake.
FP bana...hayo maneno umeniwekea mdomoni....(ukishtuka si unyamaze??😡😡)
Asprin mimi sina chama, na ninapenda nibaki hivi................... kuna raha yake kuwa observer.
nakwambia haka kabinti kangu mbona ntakoma mwaka huu? Ngoja nami nibadili avata bana LOL
Namtafuta mwanangu Caren...kuna mtu kamwona? Mkimwona tafadhali mwambieni baba yake namtafuta eti!
hapa mi mgeni wajameni!!!!!!nianzie wapi??????
Caren naona 2010 uko kikazi zaidi plus Avatar :A S 13:
Unaonaje tukaunganisha uhusiano wa avatar zetu? I'm in love with your avatar, if you understand what I mean!😛reggers:
Yaani hiyo avatar yako itanifanya nikimbie post zako.
I will not understand what u mean until u change ur avatar
You are rewarded............please contact me for instruction.nidai zawad pleeeeeese!!!!!!!!!!!!!
guuuud boy.....!!!!!!!!!!
In that case...Let me do the needful......Make someone laugh and you've got a friend...........:lol::lol: And not otherwise!
Asprin ndo nini kuweka liavatar libaya hivyo umeharibu weekend yangu
mi mgeni humu, kuna nini leo?