Naacha Pombe kuanzia leo

Naacha Pombe kuanzia leo

Hii kauli hakuna mnywaji ambae hajawahi kuitoa akiwa na mning'inio. Huwa ni kauli ya asubuhi pale unapoona maisha magumu hayana maana ila subiri hangover itoke mchana au jioni kama mwenyewe hujasema ngoja nipate kamoja aisee
 
Kuacha pombe ni kazi ngumu sana. Siku nyingine uamke huna hamu ya kula kichwa kinazunguka tuuuu unajiapiza sinywi teenaaa mwili ukikaa sawa tu unarudi kulekule kwa kina viti virefu.
 
Back
Top Bottom