Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Kweli hata me nikiamua zangu nijipumzikie nisinywe nakaa kwa mda sinywi na sitamani ngoja sasa uanze kuwatangazia wananzengo hata mwezi hauishi koo linawashaNikiachaga kimya kimya huwa nadumu hata miezi miwili[emoji854]
Ila beer tamu jamani