Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
- Thread starter
- #21
Hapana ankali..... Karibu chamani...unapelea mjomba
View attachment 3181830
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ankali..... Karibu chamani...unapelea mjomba
View attachment 3181830
Hapo ndio unaona umewazaaa mpaka mwisho.... Ninavitu vingi sana vya kufanya ..nacheza draft yote french British , nacheza bao hasa la kiswahili, nacheza soka ,nacheza kikapu .... Kamsaidie dada Ako huko kukata vitunguu naona umeshindwa kukaka kwenye kikome na wazee.Haya kajifunze kufuma vitambaa ili ifikika Jioni uwe unakaa na mama watoto nyumbani
Great, all the best. Nipo nakandamiza bia homeBahati mbaya Sina namna ya kukuhakikishia kuwa nimeacha ... Pombe niliyokunywa ni nyingi sana nikikuwekea hapo unaweza maliza miaka 10 na usizimalize....Wapo waliopinga na ninakaa nao vilingini na sinywi...ila round nawazungushia fresh tu nikiwa fresh....kifupi Kuna dozi Moja ya IONOX ya ngozi nilimtumia siku 14 sinywi pombe nimeenda nimeongezewa dozi Tena ... Nimemaliza juzi ..hivyo nimekaa mwezi naenda wa pili ... Sioni Cha ajabu ...miwili umetulia na akili imetulia ....ya Nini kurudia Tena pombe.
Huyo Lia Lia hawezi acha 🤣🤣Ukifanikiwa mshauri na Vincenzo Jr aache
😃😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Ukifanikiwa mshauri na Vincenzo Jr aache
Exactly!mapenzi yatakurudisha!, pombe ukiisema unaiacha unakosea ile unaiacha bila kusema!
😃😀😀😀Huyo Lia Lia hawezi acha 🤣🤣
ubaya ubwela
Kuacha ni wewe na nafasi yako ... Kuna jamaa aliokoka akawa mchungaji kabisaaa ...katihubiria weeee ... Mi nimeacha ila Sasa yeye ndio karudi Kwa Kasi ya ajabu kama vile analipizia Ile miaka mi4 aliyoacha.Ukifanikiwa mshauri na Vincenzo Jr aache
au nasema uongo...? mtani🤣😃😀😀😀
Sina tatizo kabisa na anayekunywa ... Nimeanza pombe Niko msingi kabisa hukoo... Ni zaidi ya miaka 25hakuna jipya Mzee Baba... Ni kubadiri tu lifestyle basi....Great, all the best. Nipo nakandamiza bia home
Wenzako tupo busy na Kung Fu na karate wewe unajisifia kucheza draft na bao.Hapo ndio unaona umewazaaa mpaka mwisho.... Ninavitu vingi sana vya kufanya ..nacheza draft yote french British , nacheza bao hasa la kiswahili, nacheza soka ,nacheza kikapu .... Kamsaidie dada Ako huko kukata vitunguu naona umeshindwa kukaka kwenye kikome na wazee.
Eti Kung Fu na karate michezo common mnafundishana hata kwenye mapagala....nimecheza Shorinji sijui hata kama unaujua......Wenzako tupo busy na Kung Fu na karate wewe unajisifia kucheza draft na bao.
Wewe hujaacha pombe umepumzika tu au umeshalewa hapo mkuu
Sasa mtoto wa nzi mbona unalia?Bila kushawishiwa na yeyote nimekaa nimeona imetosha Sasa. NAACHA RASMI POMBE ..Sigara niliacha zamani Sana.
Suala hapa ni mtoto aje na ada.Ada, kodi, sikukuu lazma pombe uipige kikono....subiria march ndo utaiacha serious.
Tatizo soda tamu ila huwezi kunywa 5 mfululizo .Sasa mtoto wa nzi mbona unalia?
Kuacha tu pombe hadi uanze kulia?
Mediiiiiic mediiiiiic......One man down here....kesharogwa huyu