Naacha pombe rasmi

Naacha pombe rasmi

Pia kubaliana kuwapoteza marafiki zako ambao pengine wakati kupata moja baridi moja moto mipango ya pesa ilikuwa ikisukwa
Hamna kitu Cha hivyo... Hapa kwenyewe nipo nao ..... Wao wanapiga gambe mi nipo zangu na maji kama ngamia
 
Bahati mbaya Sina namna ya kukuhakikishia kuwa nimeacha ... Pombe niliyokunywa ni nyingi sana nikikuwekea hapo unaweza maliza miaka 10 na usizimalize....Wapo waliopinga na ninakaa nao vilingini na sinywi...ila round nawazungushia fresh tu nikiwa fresh....kifupi Kuna dozi Moja ya IONOX ya ngozi nilimtumia siku 14 sinywi pombe nimeenda nimeongezewa dozi Tena ... Nimemaliza juzi ..hivyo nimekaa mwezi naenda wa pili ... Sioni Cha ajabu ...miwili umetulia na akili imetulia ....ya Nini kurudia Tena pombe.
Sasa kuacha kwako pombe unatuambia sisi ili iweje? Unataka tukusaidie nini?
 
Back
Top Bottom